hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,326
- 26,779
Upo sahihi pale Brighton Kuna watu wanaosajili vzrKweli De zerbi ni kocha mzuri lakini kwa pale Brighton kuna mtu nje ya kocha mkuu ndio anafanya timu na kocha wake washine.
Kabla ya De Zerbi alikuwepo Potter na yeye alishine kwelikweli na Brighton yake, kila mtu alikua akimuimba Potter kua ni among of the best coacher in Epl, haya baada ya Potter kwenda Chelsea mambo yalikuaje?
Binafsi sina mashaka yoyote na De Zerbi ila nina uhakika kushine kwa Brighton hakutokani na De Zerbi, kuna mtu yuko nyuma ya Kocha mkuu ambae ndie anaifanya Brighton inang'aa, hata akiondoka De zerbi akaja kocha mwingine nina uhakika Brighton itaendelea kukimbiza hivihivi kama ilivyokua inakimbiza kipindi Harry Potter.
Pamoja na hayo ukiongeza na ubora wa Di zerbi ndio unapata balaa Hili
Di zerbi ana takwimu ambazo sijawahi ona kocha wa timu ndogo anaziweka kwa misimu ya karibuni
Anaongoza kwenye takwimu ambazo zinawekwaga na city
Msimu Jana alichukua timu katikati ,safari hii Di zerbi anaenda kutembeza vipigo Sana ,
Leo Westham ajiangalie Sana anaweza kudhalilishwa