Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa maamuzi haya dhidi ya Greenwood na msukumo uliotolewa na watu wa nje inahitimisha ukweli kwamba Man Utd inaendeshwa kukidhi matakwa ya kibiashara kwa asilimia kubwa na uwanjani ni ilimradi wasishuke daraja tu.

Angalia zile sajili za kibiashara zaidi kuliko ubora uwanjani, ndio maana hakuna watu wa mpira baada ya Fergie zaidi ya bankers kwenye nafasi adhimu. Fikiria Fletcher ndiye Technical figure kwa klabu kubwa kama Utd tena ikiwa katika hali ya kuchechemea!
 
Sawa mkuu, kizuri ni kuwa striker tumesajili na soon atacheza, basi tutakutana hapa hapa na hizi data.
Nakuhakikishia kaka streiker ataanza ni vijana kama Pelistri, Garnacho au Hamad tutafunga saana ila wakianza hawa wakina Rasford, Sancho na Antony tatizo linaweza kuwa pale pale.
 
Rasmi nahama timu ya manchester kutokana na uchoko unao endelea kwanza menejimenti mbovu ya club, uchoko wa wachezaji, mfululizo mbovu wa matokeo na kilichonikwaza zaid ni hili la greenwood..
Maamuz ya ovyo timu wachezaj haina af mnaruhusu mchezaj aondoke kisa mambo ya kisimbe
 
Mpaka muda huu Instagram official a/c ya Manchester United wameogopa kupost issue ya Greenwood, mashabiki wamechafukwa kila upande wa dunia ni wanatapika nyongo kwelikweli.
Natabiri hili suala la Greenwood rasmi litaanzisha movement za migomo na maandamano ya kuwalazimisha Glazers wauze timu kwa nguvu.
 
Kwakweli na iwe hivyo tu. Nmetibuka nyongo hapa kinomanomaaa
 
Asa Glazzers wanahusikaje hapo jamani.. yani mkifungwa mechi moja tu ndo mnakumbuka timu iuzwe. Hapo imeingia ishu ya Greenwood na nyie ndo mnaingizia humo humo.


Hebu iacheni familia ya watu ienjoy maokoto.

Kama pesa kipara kapewa akaenda kununua mchezaji majeruhi.
 
Sina hamu na utd hii timu sijui nani kailaani yaani Dunia nzima inaangaika kupata streiker ambaye akipata 4 chances anascore tatu, akipiga shoot ni kamba halafu leo wanamuacha kwa ajili ya kuwaridhisha wachezaji wa kike.

Yaani wanabaki na magarasha kina Rashford kiukweli tahamia timu atakayoenda huyu dogo. Huwezi achia hazina ya magoli kama hii wakati mahakama imemkuta hana hatia na mwanamke aliyemtuhumu washazaa naye. Natabiri mwisho mbaya wa hili litimu. Wao wanashindwa kuheshimu haki za binadamu na mahakama halafu kila siku wanatoforce sisi tuheshimu.
 
Asa Glazzers wanahusikaje hapo jamani.. yani mkifungwa mechi moja tu ndo mnakumbuka timu iuzwe.

Hebu iacheni familia ya watu ienjoy maokoto.

Kama pesa kipara kapewa akaenda kununua mchezaji majeruhi.
Pesa ya usajili haitoki kwenye mifuko ya Glazers, hii familia imekua ni kama kupe kwenye kunyonya mapato ya timu bila ya kua na mikakati yoyote ya kuboresha timu yetu.
Hili suala la Greenwood ni haohao Glazers ndio wameilazimisha bodi ya United kuachana nae ili kulinda maslahi yao binafsi kutoka kwa wadhamini walioingia mikataba na Man Utd.
 
Note:Glazers Out imeanza tangu timu ikiwa on fire miaka ya 2008 huko na ishu sio pesa ya usajili.

Ishu ni uongozi wa kisenge kama alivyowachana CR7 kuwa hawajali kuhusu klabu wapo kibishara na hizo pesa huwa wanatoa kupunguza kelele tena hazitoki katika investment yao
 
Hili suala la Greenwood bodi ya United itajutia sana, ni bora wangelinyamazia tu wakamtoa kwa mkopo kimyakimya.
Hili suala linaenda kuwaamsha mashabiki wa United kudai timu yao toka kwenye mikono ya kinyonyaji ya familia ya Glazers.
Kitu msichojua ni kwamba wanawake wanasujudiwa sana ulaya ukionesha kitendo cha unyanyasaji au ubaki basi ujue umeenda na maji kule wana sheria kali sana

Huyu Greenwood kiufupi kashapotea kwenye ramani ya soka maana ameshaharibu cv yake kupata timu ulaya ni ngumu labda aende uarabuni hakuna mashabiki wa Man utd kule ulaya atakayepiga kelele zaidi ya sisi huku Africa
 
Casemiro

30+ age

€70m

Kwasasa kukimbia imekuwa mzigo kwake

Mpaka Sasa 7hag Ten egg sajili zake bora ni Martinez na Onana, kuzingatia umri , uwezo ,

Ametumia €400mView attachment 2724936
Kwa hio leo Onana imekua ni usajili bora?
Baada ya kusajiliwa si ulikua unamponda na kuwadanganya watu humu kua Onana kwa Epl ni shati bora hata ya Dagaa (De gea)
Masingeli kua basi na msimamo ndugu yangu, mbona una yumbayumba kama vile uko kwenye mtumbwi?
 
Kitu msichokijua ilianza women nyumbu United kabla ya man nyumbu United
Hii timu misingi yake ni yakike

Pisi Kali zote huwaambii kitu na hii timu yao

Wenye timu walio wengi ndio wameamua na maboss wamewqsikiliza

Dadas Fc
 
Kitu msichokijua ilianza women nyumbu United kabla ya man nyumbu United
Hii timu misingi yake ni yakike

Pisi Kali zote huwaambii kitu na hii timu yao

Wenye timu walio wengi ndio wameamua na maboss wamewqsikiliza

Dadas Fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…