Where's Mata? Atakuwa kafichwa mfukoni mwa nani huyu jamaa?... Anyway hii mechi itaisha kwa draw 1-1, Skrtel atafanya mambo yake kuisaidia Man utd kusawazisha
Mkuu unamsahau valencia ni muhimu sana kupeleka presha mbele na anakaba kwa nguvu na ukizingatia rafael tayari ana woga wa kadi ya pili presha itapungua sana huku kulia.