Hivi Antony hata kuna chance alicreate? Aisee ule upande kwa namna yoyote Greenwood arudi, na ni bahati AWB alianza, wangekutana Dalot na Antony ingekuwa balaaAmrabat aje tuu mount sio wa kuanza na Bruno tutakufa nyingi siku moja
Pia greenwood aludishwe otherwise huu msimu tutakutana na kitu kizito
Di zerbi ni kocha ambaye hata Pep anamuogopa kimbinuNgoja nicheke.
Njooni mbebe takataka yenu kenge nyie.Wazee tuongezeeni hata pesa kidogo kwa MOUNT, acheni ubahili.
Msimpate asee,huyo mwamba anajua Sana ,
Ten Hag anawafaa sana...ila kusajili hajuiπ π πila akija Man Utd lazima utampondea, Masingeli una maana basi wewe
Mi nafurahi nikiwaona Arsenyau humu kwenye jukwaa la wanaume, jifunzeni humu namna watu walivyo huru (free-minded) kujadili timu yao.Ten Hag anawafaa sana...ila kusajili hajui