Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Casemiro kachoka sana nadhani muda wa kula pensheni umefika.

Rashford punda sana anacheza kifaza sana ,washambuliaji wetu hovyo sijui tutafikaje September bila namba 9 katili,hapa wakachukue cheap options kama Mehdi Taremi tu.

Kupigwa msako kawaida ila huwa tunafanyiwa hivi tukiwa tunaongoza kwa tofauti ya goli 1 inatakiwa washambuliaji wabadilike tukiwa tunaongoza hata 3 hatuwezi kukutana na hizi shuruba za stoppage time kwa sababu tunakuwa hatuna presha.

Sajili 3 hazitoshi hapa naona usajili ni wa kipa tu hizo nyingine pata potea
 
Mathew Nunez, paundi million 50 hadi 60 si biashara mbaya.

Sijui kwa nini liverpool walishindwa kumsajili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…