NATABIRI MAN UNITED BINGWA 2023/2024. ubingwa hauna 100% forecasting remember LEICESTER CITY 2016 na ARSENAL msimu uliopita hakuna alietengemea watafany vzr km walivofanya, thus why naomba mheshimu mawazo yangu.
Tukikosa basi bingwa ni chelsea, naamini coz msimu huu forward zetu zitaimarika na kutushagaza.
1. Martial, msimu huu anatulipa fadhila na kutubu dhambi alizotufanyia since 2015. ana dribbling nzur, speed , mzr 1 vs 1, na anarud kweny pick na ataongeza thaman kuelekea ubingwa wetu msimu huu, huyu yupo umri wa kujitambua na high performance. Atawashagaza.
2. rashford, kama kawaida ashakuw matured hatashuka kiwango na atatupa point muhimu.
3.garnacho, ni km usajili mpya flan ivi. huyu yupo serious na kazi, ana speed, ana cross nzur, anajua kugunga. Hii inaashiria option nying kweny forward line yetu na inaleta impacts.
4. hojlund, no more explanation, no kitu tulikosa msimu uliopita, Huyu ataongeza consistency ya ushindi ambayo msimu uliopita tuliikosa sababu ya kumiss baadhi ya golden chance na lack ya proper positioning ya striker wetu ( woughost).
5. Greenwood, bdo hayuko fit lkn ni added value na atasaidia kutupa consistency ya ushindi season hii.
Midfielder, tumeongeza value.
Backline kuna improvement nzuri kuanzia GK.
SHORTLY, naamini tutakuwa bingwa msimu huu