Aiseeee tokea pre-season imeanza huyu Fremason binafsi sijaona impact yoyote toka kwake zaidi ya zile picha zake tu za kupendeza amepiga akiwa anatabasamu ndani ya uzi wa Man Utd.
Aiseeee tokea pre-season imeanza huyu Fremason binafsi sijaona impact yoyote toka kwake zaidi ya zile picha zake tu za kupendeza amepiga akiwa anatabasamu ndani ya uzi wa Man Utd.
Huyu Fremason Mount mbona kama ana uWighorst ndani yake?
Unakosaje sasa kufunga goli uko peke yako tu na kipa?
Hivi Chelsea mnatuchukuliaje kwani?
Kwani pesa yenu mshalipwa yote maana dirisha bado liko wazi.