Nisielewe nini wakati sentesi ya hapo mwanzo inajieleza.Shida yako huwa unakurupuka kujibu as if kila post humu inakuhitaji uijibie, soma uelewe ukiona huelewi ujue haikuhusu kaa kimya.
Onana anacheza na upepo wa media ,hivi Kati ya magwaya na lindelof Nani alifanya kosa kubwa?AndrΓ© Onana is already sick and tired of Harry Magurieβs mistakes after he was at fault for a goal vs Dortmund in Las Vegas on Sunday.
The keeper BERATED the centre half and was noticeably livid with what he witnessed.
#ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨πππ
#ππ£ππ©ππππ€π§π©πππππ£π¨
#πππππ ππ ππ¨π¨ππ’ππ£πΌπ©πππ£ππ©π
#ππ‘ππ―ππ§πππ
#ππππ
man utd |View attachment 2703671
Tatizo lugha, Lugha inakupiga chenga so sikulaumu. Endelea kuchambua Mr. MchambuziNisielewe nini wakati sentesi ya hapo mwanzo inajieleza.
Una bahati leo sina vibe la kuwasha moto next time utaeleweshwa kwa facts usipoelewa sitaki lawama kuitwa sina adabu humu ndaniView attachment 2703677
CorrectHadi sasa tushaspend sana nadhani zimebaki sajili za Amrabat pamoja na beki wa kati ili kufunga mahesabu ya dirisha hili zaidi ya hapo ni extra tu
Madirisha yajayo kocha anapaswa kufanyia kazi mabeki wa pembeni hasa kule kulia,Bissaka na Dalot walikamia last season ili kumuaminisha kocha ila naona bado sana mmoja yupo vizuri kwenda mbele ila nyuma uchochoro na mwingine yupo vyema defensively ila mbovu kwenda mbele footwork yake mbovu.
Anapaswa kuchukua complete RB yule Jeremy Frimpong aliyetagaka kumsajili angefaa sana.
Wazo la Eric kumchukua Antony sio baya ila alitakiwa awahi ule wakati price tag ikiwa β¬40m,Ajax walibadili price tag ili timu zikae nae mbali kwa sababu walikuwa wameuza wachezaji muhimu wa first 11 kama 5/6.Anthony mechi yakwanza vs Arsenal pale pale nilisema hapa mmetapeliwa ,
Wengi mnaamini alikuwa hatari akiwa Ajax sababu ya Video clips za YouTube akipokea mpira kwa kisigino ,akitembea juu ya mpira
10hag juz hapa katupa dongo hajamtaja mtu ,ila sisi wahafidhina wa football tumejua anamlenga Anthony masebene
Anasema anahitaji winger anayeweza kufanya Take ons
Lakin hawez kwenda kwa Grazer famili akaombe pesa ya RW baada ya mwaka mmoja ku spend β¬100m watamlamba makofi
Hapo kwenye kupiga miguu yote ndio inafanya watu wakumbuke zile shuti za mguu wa kulia za Greenwood hapo ni weak foot.Correct
Pia 1 tupate walau back up ya casemiro... Je ambarat ni natural cdm au ni 8 cm... Mainoo anaonesha ana uwezo wakuwa cover up ya hio space as he keeps on growing a young amateur into a starting eleven
Hivi tukimleta ambrat tutachezake hapo kati au mmoja atakuwa benchi..some reasonable questions huwa ni ufungo wa upeo mzuri wa development au tutacheza na double pivot hapo kati ambarat casemiro
2 mi naombea leo kesho Greenwood arudi thats my final say najua kuna kitu hakipo sawa for a reason
(i) inconsistent ya Rashford inatakiwa kuwa na catalyst ya mtu waku mpush ikiwezekana sometimes akae bench akili mkae sawa ... Hapa mtu anaweza aka kuona hater kumbe unakuwa cautious na approach zilizo mbeleni tunaenda compete major trophy and some things zinaweza simama kama setback kweny plan ya coach
(ii) Antony is a wonderful a bright promising future star ila tatizo lake la uchoyo uchoyo una wa influence wengine wawe kama yeye asa sijui major factor ni nn ya ucho hii upelekea ku disrupt team work na kwenye crucial moments za ushindi huwa ni disgrace
Pia anategemea sana left foot nataman coach azidi kumpika awe na confidence ya kushoot with right foot bia sio 98% left 2% right foot
Greenwood akirudi anahitaji mazoezi wiki 2 tu , Anthony anaenda bench mazimaWazo la Eric kumchukua Antony sio baya ila alitakiwa awahi ule wakati price tag ikiwa β¬40m,Ajax walibadili price tag ili timu zikae nae mbali kwa sababu walikuwa wameuza wachezaji muhimu wa first 11 kama 5/6.
Antony angesajiliwa kwa thamani ile ya mwanzo hakuna ambaye angelalamika β¬100m ni kubwa sana.
Njia pekee ya kupata winga mwingine ni pesa ya mmiliki mpya tu,ama ikitokea Greenwood karudishwa na bado physically na mentally yupo vyema Antony benchi litaanza kumuita maana kijana balaa lake linaeleweka.
Wewe subiria moshi uanze kufuka kwa jirani ukija kushtuka kwako kumeungua. πHuyo lazima nimtaje , ni usajili ambao ni reference nzuri Sana kuhusu 10hag Nini anakifanya hapo manjesta
Ni sawa na wewe leo ukaoe mwanamke mwenye matatizo ambaye uliwahi kuwa nae kimahusihano miaka ya nyuma
Tutahoji uwezo wako wakuchagua mke
Ndio 10hag alikuwa na Anthony Ajax ,anajua kabisa pale ni mchezaji wa show off tu , lakin kaja manjesta kamsajili kwa β¬100m
Sajili zake nyingine zimejaa connection ,Hojlund kwa β¬85m , wakala la Hojlund ndio huyo huyo wa 10hag , Kuna harufu ya overpayment hapo ,wakala kalamba 10%, Hojlund alimfukuza wakala wake wa awali ili aungane na huyu wa 10hag ,aletwe manjesta
Sisi wahafidhina wa football tumekaa pemben tunakula popcorn tunasubiri Moshi uanze kufuka
EtH apambane tu na mwanaye. β¬100m nyingi sana akiomba tena pesa ya RW atalambwa makofi kweli. πAnthony mechi yakwanza vs Arsenal pale pale nilisema hapa mmetapeliwa ,
Wengi mnaamini alikuwa hatari akiwa Ajax sababu ya Video clips za YouTube akipokea mpira kwa kisigino ,akitembea juu ya mpira
10hag juz hapa katupa dongo hajamtaja mtu ,ila sisi wahafidhina wa football tumejua anamlenga Anthony masebene
Anasema anahitaji winger anayeweza kufanya Take ons
Lakin hawez kwenda kwa Grazer famili akaombe pesa ya RW baada ya mwaka mmoja ku spend β¬100m watamlamba makofi
Shida nawaza nijinsi gani mashabiki watakavompokeaEtH apambane tu na mwanaye. β¬100m nyingi sana akiomba tena pesa ya RW atalambwa makofi kweli.
Wa kumuokoa ni Greenwood tu. Ila huenda Antony akifika 25 ata-improve.
Ataimprove kwa ligi nyingine ila kwa EPL sioni jamaa akibadilika.EtH apambane tu na mwanaye. β¬100m nyingi sana akiomba tena pesa ya RW atalambwa makofi kweli.
Wa kumuokoa ni Greenwood tu. Ila huenda Antony akifika 25 ata-improve.
Hawa wakongwe wana funbase kubwa sanaBrand ya United ni hatari sana. Hakuna cha maana wanafanya ila pesa haikauki.
View attachment 2703725
Sorry natoka out of point kidogo... Nilikuwa na uliza tuHapo kwenye kupiga miguu yote ndio inafanya watu wakumbuke zile shuti za mguu wa kulia za Greenwood hapo ni weak foot.
Kuna dalili za Greenwood kurudi maana siku chache nyuma Adidas walikanusha kufanya mazungumzo na Greenwood. Leo United x Adidas wametangaza dili jipya la vifaa vya michezo. Lazima kutakuwa na jambo linaendelea.Shida nawaza nijinsi gani mashabiki watakavompokea
Hapa kuna categories kama 3
True (real) fans
Casual fans
Plastic fans
Hawa bana ndio nguzo kuu ya timu...why
Uongozi unaskiliza upepo wa mashabiki ambao upo gradually revolving toward acceptance ya mchezaji ndani ya timu ni hivi tunaona Greenwood anafanya sana mazoez hii kwao viongoz wanatumia kama bait kunasa overall review ya mashabiki wanaonaje uwepo wakijana ndani ya team yao..ambapo kama review zikiwa positive basi hata brand kama adidas wata kuwa convinced kweny kufanya majidilano ya kum recruit tena kijana ndani yakikosi
Shida ni nn...hawa FANS sasa
1 real fans wana kila sababu ya kumpokea kijana regardless na decision zilizotolewa na court on how dogo ame being proven innocent bas anahaki ya kurejea na wao wana kila sababu za kum guard agaist casual fans na plasti fans
2 casual fans.. Mashabiki wapo hawapo hawa wengi ujifucha ndani ya kivuli cha ushabiki wa timu flani kumbe sio team yake ni nyengine plus plastic fans wao wanaonaga makosa zaidi ya maendeleo ya timu ...utakuta tu wanasema team yangu nayo ijua haiwez mrudisha mbakaji yani hata bila kujua kuwa dogo kasha being proven innocent wao wanakandia tu bila sababu za msingi wengi wao huendeshwa na mihemko hisia na arrogance na njaa
Hawa watakuwa wana play key role ya kumpa dogo confidence au kumpunguza juu ya uchezaji wake na uimarikaji wake waki michezo ndani n a njee ya uwanja
Hawa hawa ndio baadhi yao watakao kuwa wanamzomea na kumkejeli kwakumuita rapist akiwa ndani ya uwanja...
Jee kijana ataweza ku overcome hizi situation jee ataweza kuwa matured enough tu conquer hizi scenario ambazo kwa aina moja au nyengine zina weza ku atter performance yake ndani na njee ya uwanja
Lastly sisi kama mashabiki kwakua mahakama imemtambua kijana Greenwood yuko hana hatia basi hatuna budi kumpokea kamanda wetu kwa mikono miwili kwani hatujui kiwango chake kama kipo the same au kime shuka...hii itamsaidia kupush his competence and hardwork resource plus performance to the outmost best next level... Tunamtegemea aje kutoa challenge kwa vijana wengine pale mbele more important aje awe a starter not a bench warmer
Welcome back MASON GREENWOOD 9
Wewe subiria moshi uanze kufuka kwa jirani ukija kushtuka kwako kumeungua.
Arsenal downfall yenu naisubiri sana, last season mlikuwa humbled kwa lazima.