christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Akitua Ambrat nina uwakika msimu ujao tutatoa upinzani mkali nmo kwa Man City naamini hawatakuwa na hamu ya kukutana na sisi. Kwa kikosi hiki kila mchezaji atahimarika.HØJLUND IS A RED! 🔴🇩🇰
Maguire na Fred waondoke sasa tulete Amrabat na CB.
Itafika wakati Ten Hag atalazimika kumuanzisha Garnacho na Pelistri kwa sababu ya uchoyo wa Rash na Antony.Alafu yule antony makeke mengi, weka mtaalaam garnacho, yuko technical angalau
Ni kweli mkuu Antony watu wanamdharau sana ila ki ukweli timu yetu kule mbele yote haikuwa vizuri.Antony alijitahidi sana kubalance timu na ndio maana mechi zote alizofanyiwa sub tulipoteza au tulidroo. Sikumbuki mechi yeyote ambayo Antony alifanyiwa sub na tukashinda au kutoa droo na maanisha aliyeingia badala yake alitusaidia kusawazisha magoli au kushinda mechi, nipo tayari kusahihishwa.Ila tukumbuke hata Sancho ana-struggle kwasababu hatuna RB wa maana hata mmoja kule Dortmund alikuwa anacheza na Hakimi.
Antony msimu uliopita alikuwa mchezaji muhimu sana kwetu, tatizo lake kubwa ni kwenye end product.
Mimi nasuburi kuona jinsi Antony atakavyo-develop Mount akicheza RCM.
Msimu ujao bingwa siyo Man City. Bingwa itakuwa kati ya Man United, Arsenal au Liverpool.Akitua Ambrat nina uwakika msimu ujao tutatoa upinzani mkali nmo kwa Man City naamini hawatakuwa na hamu ya kukutana na sisi. Kwa kikosi hiki kila mchezaji atahimarika.
hatumtegemei Rashford kututengenezea nafasi, msimu uliyopita Bruno aliongoza EPL kwa hiloKwa hii winga selfish Rashford na Antony Ten hag asipoangalia huyu Hojlund atahangaika kuzifumania nyavu.
basi itakuwa humjui Robben au yule sio wa kizazi hiki?Antony pia anapaswa kubadilika eneo la mwisho mtu anawaza mabao ya akina moja kwa sababu ya guu lake la shoto muda wote hawezi kutumia weak foot hata kidogo hapa ndio inafanya watu wamkumbuke Greenwood ambaye angle yoyote final third anakuua na mguu wowote
ondoa Liverpool hapoMsimu ujao bingwa siyo Man City. Bingwa itakuwa kati ya Man United, Arsenal au Liverpool.
Sidhani kama anthony anafikia hata robo ya uwezo aliokuwa nao robbenbasi itakuwa humjui Robben au yule sio wa kizazi hiki?
Antony pamoja na kuwa hana hatari kiasi hicho ila ni msaada kwetu kwa ule upande Sancho au Rashford hawakabi wakicheza kule, pili beki timu hawezi kupanda kushambulia kama akiwepo Antony upande ule hiyo ni faida kwetuNi kweli mkuu Antony watu wanamdharau sana ila ki ukweli timu yetu kule mbele yote haikuwa vizuri.Antony alijitahidi sana kubalance timu na ndio maana mechi zote alizofanyiwa sub tulipoteza au tulidroo. Sikumbuki mechi yeyote ambayo Antony alifanyiwa sub na tukashinda au kutoa droo na maanisha aliyeingia badala yake alitusaidia kusawazisha magoli au kushinda mechi, nipo tayari kusahihishwa.
Sidhani kama anthony anafikia hata robo ya uwezo aliokuwa
hata theluthi hajafikia ila mada hapa ni weak footSidhani kama anthony anafikia hata robo ya uwezo aliokuwa nao robben
Jamaa kutumia mguu wake wa kulia hawezi na hata wa kushoto ni tia maji tia majihata theluthi hajafikia ila mada hapa ni weak foot
Front three ya Liverpool inatisha kuliko timu zote za top sixondoa Liverpool hapo
Hana anachokijua huyo zaidi ya chenga za beach soccerJamaa kutumia mguu wake wa kulia hawezi na hata wa kushoto ni tia maji tia maji
Ilikuwa inatisha kipindi chake, sahivi tumuogope nani pale labda ???Front three ya Liverpool inatisha kuliko timu zote za top six
Kusema kweli huyu jamaa hata huko alipotoka nilikuwa simuonagi akianza mechi hasa za uefaHana anachokijua huyo zaidi ya chenga za beach soccer
Kumbuka main man alikua Rashford sehemu ya kupiga pasi analazimisha kufunga nadhani wote tuliona namnahatumtegemei Rashford kututengenezea nafasi, msimu uliyopita Bruno aliongoza EPL kwa hilo
Kabisa mkuu dogo mimi huwa namtizama kwa jicho hilo mara nyingi akitoka uwanja unainama sababu mabeki wanakuwa huru sana refer ile mechi na Arsenal alivyotoka tu Zenchenko akaanza kupanda na kutoa assist.Antony pamoja na kuwa hana hatari kiasi hicho ila ni msaada kwetu kwa ule upande Sancho au Rashford hawakabi wakicheza kule, pili beki timu hawezi kupanda kushambulia kama akiwepo Antony upande ule hiyo ni faida kwetu
Mimi nina mpango wa kulala masaa 6 kama kawaida ya kila siku ila leo nalala saa 4 natega Alarm saa 9:55 iniamshe hakuna namnaPre-season hii majanga matupu..
Games zipo mida ya wanga