Mtu anaridhika na kikosi chakina Shaw, Rashbeck, Malacia then anajiuliza kwann hatubebi makombe yanayo eleweka.Mzee baba Hawa wanataka useme Anthony ni winger hatari ilihali ana goli 4 tu, Sancho anajua , wanataka useme manjesta itapambania ubingwa na kina Rashford ,magwaya ,varane , malacia
Huyo Antony watu wanalalamika bure tu kutokana na bei aliyonunuliwa.Na kwa Antony ndio sehemu pekee ninayoweza kulaumu ila sehemu nyingine zote naweka tiki.
Tuna imani na kocha wetu kama kutapeliwa tumeanza hata kabla yake huwa karibu kila msimu tunaigiza sajili ya kitapeli
Mimi ni shabiki waBachelor wewe ni nyumbu sugu
Anthony wa Ajax ndio huyo huyo wa manjesta, uchezaji ni huo huo ,hawez vuka goli 5 EPL huyo ,hata Jack Grealish ni vile timu yake imepata mafanikio ,lakin bado namba zake haziridhishi ,Huyo Antony watu wanalalamika bure tu kutokana na bei aliyonunuliwa.
Haina tofauti na Grealish alivyokua analalamikiwa na mashabiki wa City kwenye msimu wake wa kwanza, ila msimu wa pili kazi aliyoipiga mashabiki wenyewe wakaanza kumuimba.
Naimani kubwa msimu unaofata Antony atapunguza mbwembwe na kufocus zaidi katika magoli na assists.
Mimi ni shabiki wa
Mashujaa Fc
Fc bandari ya tanga
Wazee fc ya ujiji
Mbona alikuwepo Southampton na alikuwa na kiwango cha kawaida tu, sidhani kama atapata nafasi utdDusan tadic ataishia manjesta
Kapita Ajax
Kacheza Erevedise
Kacheza Weghost ambaye alikuwa Burney ashindwe Tadic ambaye had UCL kachafua sanaMbona alikuwepo Southampton na alikuwa na kiwango cha kawaida tu, sidhani kama atapata nafasi utd
Weghorst alichukuliwa kwa muda tu Marital akiwa Injury in short haikuwa planned, unadhani tungepata hela ya kusajli straika mwezi ule angesajiliwa Weghorst?Kacheza Weghost ambaye alikuwa Burney ashindwe Tadic ambaye had UCL kachafua sana
Ila msimu ulioisha mchezaji ambaye nimemtukana sana ni Antony in short simpendi anacheza ufala halafu akiguswa anaanzisha ugomvi.Huyo Antony watu wanalalamika bure tu kutokana na bei aliyonunuliwa.
Haina tofauti na Grealish alivyokua analalamikiwa na mashabiki wa City kwenye msimu wake wa kwanza, ila msimu wa pili kazi aliyoipiga mashabiki wenyewe wakaanza kumuimba.
Naimani kubwa msimu unaofata Antony atapunguza mbwembwe na kufocus zaidi katika magoli na assists.
Na wewe ukiwa kiongozi wa hao mashogaTeam ya mashoga
Misimu miwili mfululizo Ajax Ten Hag alimtumia kama false #9 na alikuwa top scorer. Baada ya kumnunua Sebastian Haller mwaka 2021 ndipo akawa anacheza nyuma ya mshambuliaji wa mwisho.Huyo ni winga & #10
Ziyech uchezaji wake hauna tofauti Sana na Anthony,kilichompa magoli na assist nyingi Ziyech ni Kuna muda alikuwa anacheza no.10 , ndio maana sikushangaa Ziyech kufeli EPL , na sitashangaa Anthony masebene kufeli EPL, mpira wao wanataka wafanye cave kwanza , the same nicolaus Pepe ,hivo hivo , EPL ni Ligi ngumu Sana ,ni beki mjinga tu ndiye atakuachia ufanye cave kirahisiWeghorst alichukuliwa kwa muda tu Marital akiwa Injury in short haikuwa planned, unadhani tungepata hela ya kusajli straika mwezi ule angesajiliwa Weghorst?
Tadic hana pa kucheza hapo labda awe backup ama Bruno asiwepo,mtu miaka 34+ wa kazi gani?
Msiishi kwa kukariri Ziyech pia alikuwa anatisha kuliko Antony hadi kinamba kama ingekuwa kama mnavyodhani basi saa hizi angekuwa wetu
Okee Antony ndiye mchezaji wetu nnayemchukia baada ya Maguire na uchezaji wake wa ujinga ndio umefanya mashabiki wamkumbuke Greenwood asiye na mambo mengi na anafunga sehemu yoyote na mguu wowote tofauti na jamaa guu la shoto tu na amekuwa akiua mashambulizi mengi kisa hichoZiyech uchezaji wake hauna tofauti Sana na Anthony,kilichompa magoli na assist nyingi Ziyech ni Kuna muda alikuwa anacheza no.10 , ndio maana sikushangaa Ziyech kufeli EPL , na sitashangaa Anthony masebene kufeli EPL, mpira wao wanataka wafanye cave kwanza , the same nicolaus Pepe ,hivo hivo , EPL ni Ligi ngumu Sana ,ni beki mjinga tu ndiye atakuachia ufanye cave kirahisi
Ubaya hawana take ons, EPL ili winger afanye vzr awe na take ons , speed , ndio vilimfanya salah afanye vzr ,
Atawachelewesha Sana huyo jamaa , bila maamuz magumu kupigwa bench , uchezaji wake hauna tofauti kabisa na Pepe , kwenye Ligi lain watashaini ila EPL hupewi chance ya kijinga ku cave Kama huna take ons ,hujui ku dribble , hujui kutoa pass za madharaOkee Antony ndiye mchezaji wetu nnayemchukia baada ya Maguire na uchezaji wake wa ujinga ndio umefanya mashabiki wamkumbuke Greenwood asiye na mambo mengi na anafunga sehemu yoyote na mguu wowote tofauti na jamaa guu la shoto tu na amekuwa akiua mashambulizi mengi kisa hicho
Tutamvumilia kwa msimu wa mwisho kama last chance,Greenwood hawezi kurudi sasa akawa na ubora kwa sababu hajacheza muda so ataenda kucheza hata ligi nyingine taratibu arudishe potential ndio benchi limhusu huyu Mbrazil naye aanze kuja kulia kuwa akiwa kwetu alipoteza hamu na soka wakati nafasi kapata sana tena kwa kocha aliyemuamini ila akacheza kifazaAtawachelewesha Sana huyo jamaa , bila maamuz magumu kupigwa bench , uchezaji wake hauna tofauti kabisa na Pepe , kwenye Ligi lain watashaini ila EPL hupewi chance ya kijinga ku cave Kama huna take ons ,hujui ku dribble , hujui kutoa pass za madhara
Greenwood alikuwa harembi ,na angekuwa mbali Sana
Antony akiwa ana mpira hana effect yoyote tofauti na ma winga wengineOkee Antony ndiye mchezaji wetu nnayemchukia baada ya Maguire na uchezaji wake wa ujinga ndio umefanya mashabiki wamkumbuke Greenwood asiye na mambo mengi na anafunga sehemu yoyote na mguu wowote tofauti na jamaa guu la shoto tu na amekuwa akiua mashambulizi mengi kisa hicho
Ila msimu unaoanza ni wa kufa au kupona sidhani kama akileta huo upumbavu ataachwa salamaAntony akiwa ana mpira hana effect yoyote tofauti na ma winga wengine
Hapa antony alipiga back pass kama unaikumbuka hii game
Yaan huwa nacheka Sana nikiona Kuna mshabiki anamtetea huyu jamaa huwa nacheka Sana ,View attachment 2689036View attachment 2689041