Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Upo sahihi gaygooner

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Arsenal fans, hawawezi kutoa hoja zao bila kuweka utoto na ujinga ujinga ndani, wao kila kitu nikuponda bila facts ukizingatia hakuna wanachotuzidi katika mafanikio.
 
Arsenal fans, hawawezi kutoa hoja zao bila kuweka utoto na ujinga ujinga ndani, wao kila kitu nikuponda bila facts ukizingatia hakuna wanachotuzidi katika mafanikio.
Hao kushiriki UCL baada ya miaka 6 tayari wanajjkuta level ya Man City kututambia ujinga wakati hata UEFA hawana wamekalia kelele tu hao washika ukuta wa London
 
Safari hii na uhakika tunabeba points 6 kwa manjesta hii ya kina onana

Na uhakika huo

Tarehe 22 wiki mbili zijazo tutawapa advertise


Mechi ya 4 tupo na nyie Emirates
 
Kwanini vilabu vya uingereza na ulaya kwa ujumla huwa hawajishughulishi sana na masuala ya usajili kwa siku ya jumamosi na jumapili?
Glazers kwa siku za Jumamosi na Jumapili hawafanyi kazi, inapofika Ijumaa kila kitu kinasubiri mpaka Jumatatu.

Huo ni utaratibu wa United sijajua kwa vilabu vingine.
 
Arsenal fans, hawawezi kutoa hoja zao bila kuweka utoto na ujinga ujinga ndani, wao kila kitu nikuponda bila facts ukizingatia hakuna wanachotuzidi katika mafanikio.
sio utoto ila ni utamaduni wa miaka na miaka

after all, season hi mnatuachia point 6 msimu hu
 
Kwanini vilabu vya uingereza na ulaya kwa ujumla huwa hawajishughulishi sana na masuala ya usajili kwa siku ya jumamosi na jumapili?
Wazungu kwaujumla shughuli zao zote wanafungaga Ijumaa na ndio maana ukitumia mfano masoko ya kifedha fx mwisho ni Ijumaa. Weekend wenzetu wanaspend time na familia zao.

Sisi tunashangaa kwasababu sisi hatujawahi kuwa na kazi. Unakuta hapa bongo unaenda kwa mtu siku ya sikukuu xmas au Eid unaambiwa kaenda kazini
bro hizi zetu sio kazi ni mishemishe ndio hazinaga ukomo

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza Hawa mafisi wanaotuita nyumbu. Sawa hatukatai maama sisi ni dunia nzima.

Maana yangu nikwamba sisi nyumbu tupo kibao, fisi wanahangaika na maisha wanatuandama Kila kitu wanahusika wanatusaidia ktk biashara.

Sisi tulihitaji kuwaondoa majinga hapa Old Trafford na tungeshindania ubinngwa.
 
Hakika mpira Ni mchezo wa wazi

Mechi Moja ilitosha kuamini hapa hakuna mchezaji wa €100m Bali Kuna udalali tu


Anthony masebene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…