Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila Arteta ni tapeli. Katumia £600m ili kushinda vikombe vya chai.

Msimu ujao Arsenyani wakimaliza chini ya United nitathibitisha kuwa Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huwezi kupewa "head start" ya £600m halafu uje upitwe na fundi la Kidachi kwa muda mfupi tu.
 
Inatia ukakasi sana mkuu, sasa hivi Timu nyingi zinaendeshwa na huu mfumo Club zinakua na feeder club.

Ukiangalia sponsor wa Burnley W88 amesha sponsor Wolves, Aston Villa na Leicester ila ni kampuni hewa isiojulikana, ipo ipo tu.

So kuna possibility kubwa kuna utakatishaji pesa unaendelea. Ila tutajua tu mbele ya safari.
 
Hii hoja ya kuwa na academy bora unaizungumziaje.

Brahim diaz,
Frimpong
Jadon sancho
Lavia
Trafford
Kwa Uelewa wangu mkuu kwa Sheria za Uefa ili mchezaji atambulike kama ni wa Academy kuna misimu kadhaa inabidi itime kwenye Academy. Wanachofanya City na Chelsea ni kununua Vijana kwa bei rahisi na kuja kuuza (hawakuzi) ndio maana hadi Leo Academy ya Utd ipo ranked over Chelsea na City.

Mfano hapo lavia kacheza msimu mmoja tu academy ya City

Toka 2012 hadi 2022 Ranking mbalimbali zinaonesha Academy ya United ndio yenye wachezaji wengi zaidi Top 5 league (kwa Timu kubwa Epl) hadi Official Program ya Epl EPPP inaonesha Academy yetu ni bora zaidi.

 
Naiyona Shida Katika Usajili Wa Onana Katik Kilabu Kilichopoteza Muelekeo Wakiwa Wanajitafuta.

Mim Nkiangalia Kwa Uelewa Wa SOKA Onana Anaend Kucheza Na Magwaya,Wan Bissaka,Varane Wachezaj Wasio Utulivu Na Mpir Mguun Atapat Wakat Mgum San Naona Akifel Unyumbuni
 
Hio bid wanayotaka Atalanta ya €100 haimanishi kwamba man United wataitoa sasa mbona unakurupuka hovyo.
 
Hata ungekuwa wewe sidhani kama ungeondoka sehemu unayopata salary £350,000 + kwa wiki na hakuna timu nyingine ambayo ingeweza kukulipa

Phil Jones amekaa miaka kama 5 hachezi mpira mashabiki hawamtaki yeye yuko kimya anakusanya pesa
 
Manchester United are now really close to signing André Onana! Positive round of talks, final bid to arrive soon then done deal. 🚨🚨🔴 #MUFC

Told deal will be SEALED by the end of next week.

Personal terms agreed.

✈️ Man United want Onana to travel for USA pre season tour.
 
Kwa Maguire hatuna stress hana nafasi tena kinachombakiza ni mshahara tu anaenda kusugua benchi hadi akome ubishi
 
Liverpool kwa Nunez hawajapigwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…