Inatia ukakasi sana mkuu, sasa hivi Timu nyingi zinaendeshwa na huu mfumo Club zinakua na feeder club.Chief-Mkwawa nahitaji neno lako hapa, hii movie nashindwa kuielewa kwa mara nyengine.
Ilianza kwa bazunu na lavia msimu uliopita, Msimu huu imeendelea kwa goalkipa anayeitwa trafford kuelekea burnley inayofundishwa na kompany pamoja na huyu mwengine.
Je man city wana network bora ya soka la vijana kwa sasa pale uingereza?
Je man city wana team bora ya kusimamia mchakato wa usajili?
Au kuna mchezo tusioufahamu wanatuchezea, unatoaje hela ndefu kama hiyo kwa mchezaji ambaye hajacheza hata mechi moja ya ligi kuu?
Kwa nini man utd tushindwe kufuata nyayo zao?
View attachment 2681097
Kwa Uelewa wangu mkuu kwa Sheria za Uefa ili mchezaji atambulike kama ni wa Academy kuna misimu kadhaa inabidi itime kwenye Academy. Wanachofanya City na Chelsea ni kununua Vijana kwa bei rahisi na kuja kuuza (hawakuzi) ndio maana hadi Leo Academy ya Utd ipo ranked over Chelsea na City.Hii hoja ya kuwa na academy bora unaizungumziaje.
Brahim diaz,
Frimpong
Jadon sancho
Lavia
Trafford
Hio bid wanayotaka Atalanta ya €100 haimanishi kwamba man United wataitoa sasa mbona unakurupuka hovyo.Ronaldo hakusajiliwa kwa €100m au €50m alikuja kwa £12m tu
Huyo dogo kwa €30m Ni sawa kabisa ila mechi 32 goal 9 €100m huo Ni utapeli
Wakati Anthony anakuja nilisema amecheza ligi ya wakulima ana Goli 8 tu , how comes anauzwa €100m , na haja prove chochote even ligi ya wakulima
Leo kila mtu anakubali pale Ni utapeli tu
Hata ungekuwa wewe sidhani kama ungeondoka sehemu unayopata salary £350,000 + kwa wiki na hakuna timu nyingine ambayo ingeweza kukulipaErik ten Hag has certainly been pivotal to the decision where #mufc have taken the deal that had been agreed off the table for David de Gea and are now pursuing Andre Onana for the no.1 spot.
[@lauriewhitwell, TOTD]
========
Niliwahi kusoma sehemu zamani kidogo, nafikiri alikuwa ni mmoja kati ya wasaidizi wa louis van gaal nyakati zile.
Yule bwana alisema david de gea ni mwanadamu mgumu kubadilika (mjuaji).
Uamuzi aliouchukua luis enrique dhidi ya david ulipaswa kuwa ni onyo kubwa sana kwake lakini alipuuzia.
Uamuzi wa kuachwa kwa joe hart na josep guardiola nao hivyo hivyo ulikuwa ni alert.
Uamuzi wa kuachwa mendy na chuck norris nalo pia ni onyo kubwa kwa degea lakini alipotezea.
Mashabiki wa man utd hatujawahi kuwa na furaha kwenye mipira ya kona.
Simuonei huruma david de gea japokuwa ni mchezaji nimpendaye mpaka kesho.
Kwa Maguire hatuna stress hana nafasi tena kinachombakiza ni mshahara tu anaenda kusugua benchi hadi akome ubishiNaiyona Shida Katika Usajili Wa Onana Katik Kilabu Kilichopoteza Muelekeo Wakiwa Wanajitafuta.
Mim Nkiangalia Kwa Uelewa Wa SOKA Onana Anaend Kucheza Na Magwaya,Wan Bissaka,Varane Wachezaj Wasio Utulivu Na Mpir Mguun Atapat Wakat Mgum San Naona Akifel Unyumbuni
Sidhani kama atakuwa bench tuu mechi moja moja atakuwa anachezaKwa Maguire hatuna stress hana nafasi tena kinachombakiza ni mshahara tu anaenda kusugua benchi hadi akome ubishi
Acha ujinga hauzwi kwa €100m Atalanta wanataka €50-70m na tunaweza lipa chini ya hapo kwa sababu wanamtaka Greenwood kwa mkopo.Sijakataa potential ya Hojlund ,hata Arsenal tulimuhitaji
Tatizo hapo Ni hiyo Bei , Huyo sio wakuuzwa €100m
Kwani huyo dogo amesha sajiliwaNext season tuna jambo letu!!!
View attachment 2681268
Bado ila kama De Gea akiondoka nafasi ya kusajiliwa itaongezeka zaidi. Atakuja kama backup ya Onana.Kwani huyo dogo amesha sajiliwa
Za Carabao ama mabeki wote waumie kama msimu ulioishaSidhani kama atakuwa bench tuu mechi moja moja atakuwa anacheza
Wamtoe tu hata kwa mkopo mshahara watamlipa wao kuliko kumkalisha bench atawapa kiwingu tu wenzakeZa Carabao ama mabeki wote waumie kama msimu ulioisha
Hata unahodha haumfai
Liverpool kwa Nunez hawajapigwa .Achen kujidanganya , ni mchezaji aliyetokeza zaid msimu huu Katika mechi 32 ana Goli 9 tu
Haja prove ili tujue Uwezo wake ,kwa £50m+ Ni utapeli tu
Mwaka Jana wakati Liverpool wanamsajili Nunez kwa €80m nilisema Kuna hatari ya kupigwa sababu amefanya vzr msimu mmoja tu , lakin akawa anafananishwa na halland ambaye tayari alikuwa na 3 season kathibitisha ubora ule ule
Wachezaji wa one season wonder Ni 60% akafeli ,40% aka click ina depend na mazingira