Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Erik ten Hag: “In just one game we had the squad available totally - that was against Man City.

Every other time it's been one player suspended, injured, or unavailable through illness. We have to deal with it well but Arsenal, all the time their squad is totally available.”

March 15
=============
July 7
Arsenal’s head of medical services Gary O’Driscoll is moving to #mufc. The highly-regarded doctor joined Arsenal in 2009 and has become a key figure at the north London club.
 
𝚃𝚎𝚊𝚖𝚖𝚊𝚝𝚎𝚜


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |View attachment 2681053
 
Ronaldo hakusajiliwa kwa €100m au €50m alikuja kwa £12m tu

Huyo dogo kwa €30m Ni sawa kabisa ila mechi 32 goal 9 €100m huo Ni utapeli

Wakati Anthony anakuja nilisema amecheza ligi ya wakulima ana Goli 8 tu , how comes anauzwa €100m , na haja prove chochote even ligi ya wakulima

Leo kila mtu anakubali pale Ni utapeli tu
 
Manchester United have Japanese 2002 born GK Zion Suzuki (Urawa Reds) on their radar.


He’s one of the option as new backup GK. Nothing done — but Man Utd informed.

Priority remains to get André Onana deal done. Talks ongoing with Inter. €55m bid needed to seal it


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |
 
Soko la wachezaji wa zamani ni tofauti na sasa mfano Benzema alienda Real Madrid kwa bei ya kawaida ila kwa miaka hii angesajiliwa kwa si chini ya €100m.

Kingine kijana ni kinda miaka 20 hakuwa kwa kuibeba timu mabegani halafu Atalanta msimu ulioisha walikuwa wabovu tu sio wale tunaowafahamu.

Ungemjudge kwa mabao angekuwa katoka top team iliyofanya vyema.

Pia mchezaji huwa kadri anavyozidi kuongezeka umri kutegemea na njaa yake ya mafanikio kunakuwa na progress ya kiwango.

Robin Van Persie wa mwanzo kwenu alikuwaga hata bao 10 za ligi anafikisha?
 
Hizi bei kila siku zinaongezeka tu. Martial si Alisajiliwa £36M na tunalipa £50M akishinda Baloon D or?
 
Robin Van Persie anatoka fayernood kwa £3m alikuwa winger , hakuwahi kumaliza msimu mzima Arsenal, na alipomaliza alifikisha Goli 25+

Huyo dogo hana thaman hiyo ,the same Kama tulivyopinga kwa Anthony ,Nunez ,even hata Bellingham ,muda Ni mwalimu

Huyo dogo labda angecheza Tena angalau msimu mwingine , sajili za one season wonder huwa Ni Risk

Ndio maana mm naamini Ni rahis Sancho akarejea na kuwa hatari kuliko Anthony ,sababu Sancho alishwahi kufanya balaa bundesliga 10+ Goals , 10+ Assist Tena zaidi ya msimu mmoja
 
MUFC's lead scout in Japan
Kei Tamura, has been monitoring —Zion Suzuki for quite a long time even during his academy days.
What makes this link interesting is the fact he also had close ties built with the player's club Urawa Reds as he worked there for 7 yrs as a scout.
 
A nine-year-old Mason Mount was in the away end when Cristiano Ronaldo scored his iconic free-kick against Portsmouth


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |
 
Sometimes tusisikilizage upuuzi mwanzo walisema bajeti ya usajili ni €100-120m halafu kashasajiliwa Mount huku Onana soon akifuatiwa na Hojlund hapo jumla inavuka €150m+

Imekaa vp ama haters ndio walikuwa wanataka kutuumiza tu
Hojjuland naskia atlanta tunawapa na greenwood kwa mkopo
 
Chief-Mkwawa nahitaji neno lako hapa, hii movie nashindwa kuielewa kwa mara nyengine.

Ilianza kwa bazunu na lavia msimu uliopita, Msimu huu imeendelea kwa goalkipa anayeitwa trafford kuelekea burnley inayofundishwa na kompany pamoja na huyu mwengine.

Je man city wana network bora ya soka la vijana kwa sasa pale uingereza?

Je man city wana team bora ya kusimamia mchakato wa usajili?

Au kuna mchezo tusioufahamu wanatuchezea, unatoaje hela ndefu kama hiyo kwa mchezaji ambaye hajacheza hata mechi moja ya ligi kuu?

Kwa nini man utd tushindwe kufuata nyayo zao?
 
Mmmaaamae halafu sisi tumemuuza Zidane Iqbal kwa kiasi cha chini ya £m1
 
Hiyo Ni michezo ya mancity Katika kubalance vitabu vyao ,bado mancity anatafuta engagement kwenye soko la ku spend asionekane mchafuzi,

Unaweza kuta Ni kweli anauzwa hiyo Bei lakin inalipwa miaka 10, kwenye vitabu huku city anaonekana kauza kwa £19m ,mwisho aonekane kauza jumla £100m


Klabu Kama hizo zinaitwa PLASTIC CLUB na zinazalisha PLASTIC FANS , na huwa Kuna muda utafika zinarudi ziliotoka , hata Chelsea inarudi ilipotoka
 
Mmmaaamae halafu sisi tumemuuza Zidane Iqbal kwa kiasi cha chini ya £m1
Acha kulalamika,mancity anatafuta engagement angalau miaka mitatu au minne aonekane anafanya mauzo mazuri ya wachezaji , ndio maana unaona hanunui Sana ila anajifanya anauza had £100m lakin Ni vitoto vya academy ambavyo hata havijawahi kucheza mechi 1 ,

Baada ya UCL kuanza kumtilia mashaka amekuwa anasajili kidogo lakin anajifanya anauza Sana , ili uefa wapunguze kumuhisi anacheza uhuni

Hata msimu huu subiri uone ,atauza hao watoto kwa Burney na Soton ambapo ndio mashimo yake ya kufichia taka

Halafu atasajili mtu mmoja kwa €100m

Mancity bado Hana Uwezo wakusajili kwa fujo bila kuuza ,hivo lazima afanye rafu ,itamchukua hata miaka 10
 
Simuamini sana huyu mpiga kelele na jarida lake la habari za jioni za jiji la manchester bwana samuel luckhurst.

Greenwood kutolewa kwa mkopo nje ya uingereza ni uamuzi bora
----------
John Murtough has held extensive talks with Atalanta officials and has discussed a possible deal to sign Rasmus Hojlund and loan Mason Greenwood to them. [Samuel Luckhurst].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…