Niia pekee ya Man United kufirisika ni kubaki bila mmiliki we endelea na fikra zako za Kimama.Ngoja utaona
Tuna imani na MartialKatika wachezaji wetu ambaye simpendi kuliko ni Martial anacheza kama kalazimishwa hata facial expression zake kama anaonewa.
Halafu alijiumiza makusudi ili asiuzwe kwa sababu hatuwezi kuuza mtu akiwa majeruhi.
Na pre season akifunga vigoli viwili kocha anamuamini kweli kumbe ni mtego.Saa hizi hatakiwi kudanganyila kabisa ni atafute striker hata Mehdi Taremi kwa €20m sio mbaya na backup yake young striker halafu Martial aozee benchi kama akina Lingard na Jones.
Hakuna timu yenye jina hilo jiheshimu nenda kaandike pumba kwenye jukwaa la timu yenu acha shobo na timu zisizokuhusu ni ushosti huoFc kyle ni timu ambayo jasusi alianzia ukocha
Sawa ngoja tuoneDiogo Costa na Kevin Trapp wapo Eredivisie?
Nishasema mwanzo kuwa Ten Hag akifeli kupata target yake plan B yake anaenda kwa wale wepesi kuwapata ndio anatua Eredivisie.
Hata akiwa Ajax alikuwa hatumii Dutchs unless wana skills sana kama ingekuwa hivyo wangekuwa 80% ya first 11 wanachukua wao.
Halafu umesahau Wenger wenu alikuwaga anabeba sana Wachezaji toka ligue 1? Rafa Benitez akiwa Liverpool alikuwa anabeba sana wachezaji toka La Liga?
Ila akifanya wa United ndio crime
Porto walitaka €70m kwa Costa na bajeti yetu haieleweki ndio maana akaenda kwa Onana wa bei nafuu kiasi.
Na akishindwa hapo ndio anaweza kuja na plan ya mwisho wa Mdachi wa Feyenoord ama ambakishe Henderson.
Van Gaal alishamuonya kufanya kazi kwenye timu ya kisenge hii.
We subiri siku Mwarabu anaichukua timu halafu Techinical na Football Directors wakabadilishwa uone kama atasaini wachezaji wenye connection nae.
Usichukulie serious Sana,Kuna muda watu wanafurahi tuKenge wewe unafikiri Man United ni kama timu zenu za Bongo pesa kuungaunga!
Utafirisika wewe Man United bado itasimama.
Anhaa kama utani fiti tu ila kuna wanaotroll seriouslyUsichukulie serious Sana,Kuna muda watu wanafurahi tu
Cha msingi lugha za matusi,kuudhi zizibitiwe
Huu utani hata united fans wanaufanya Sana majukwaa mengine ,
Casemiro alitoka Erivedise ?10hag anamtaka kipa wa fayernood , if deal la onana likiwa gumu
Hivi 10hag nje ya erevedise Hana jicho
Frenkie De Jong to Man City,mbona Pep haridhiki aisee dah!
Most ya sajili zake Ni hizo, alipomkosa De jong ndipo akaenda kwa CasemiroCasemiro alitoka Erivedise ?
Halafu mbona hii Financial Fair Play naonaga kama kwao haifanyi kazi maana kila mara wananunua tu na kuuza ni kwa bahati mbayaAvailability of funds
Frenkie De Jong to Man City,mbona Pep haridhiki aisee dah!
Wananunua kupitia pesa wanayo generate either ni kupitia deals walizo sign na hizo gate collection.Halafu mbona hii Financial Fair Play naonaga kama kwao haifanyi kazi maana kila mara wananunua tu na kuuza ni kwa bahati mbaya
Jiheshimu,sijamaanisha aje kwetu nazungumzia ambition ya Guardiola.Sasa unataka aje UNYUMBUNI kufanya nini? Mashabiki wa NYUMBU akili zenu sijui mlimpa Captain MAGUIRE
Shabiki wa Cheltako ulimaliza namba 12 na umezidiwa epl na Man City walioibuka 2010+ unapata vp kiburi cha kuropoka hovyoLeo ni kuipoteza NYUMBU kwenye ramani ya mpira
Arsenal tuliingia hasara kuwavunjia mikataba Ozil,Auba,n.kMoja ya hasara ya kulipa mishahara mikubwa ni hii
Mchezaji akilipwa mshahara mkubwa alafu ana uwezo wa kawaida inakuwa ngumu sana kumuuza kwa sababu zifuatazo:
1) Timu zingine zinazotaka kumnunua wanashindwa kufikia makubaliano ya mshahara wake; wachezaji wengi hawakubali kwenda timu kwa mshahara mdogo kuliko anaolipwa.
2) Mchezaji mwingine yuko radhi akae benchi maadamu kibunda kinaingia. Hajali.
3) Ili kumuuza inabidi klabu iwe ruthless—yaani kama mkataba wake amebakiza miaka miwili wamlipe ela yote ya miaka hiyo iliyobaki, wamfukuze/wavunje mkataba. Hiki kitu kwa Glazers ngumu sana kufanya.
Tunaposema kulipa mishahara mikubwa sana kuna madhara hasa kama mchezaji kiwango chake hakistahili malipo hayo, hasara zake ndio kama hizo.
Machester United ndio timu inayolipa mishahara mikubwa zaidi EPL. Lakini huenda ndio timu yenye wachezaji wavivu zaidi EPL.
Matatizo yote tumejisababishia sisi, tusingeshindwa kuuza wachezaji ili tupate hela ya kusajili wengine.
Watu kama Maguire na Martial ni mizigo ila kuuzwa hawataki,acha tuendelee kuwaangalia Gunners soon wanamfikia City
Casemiro was a panick buy baada ya kumkosa FDJ, alishawahi kumtaka Timber wakati tayari tuna Martinez.Casemiro alitoka Erivedise ?