Hawajawahi kutumia pesa yao kwa usajili inayotumika ni ya klabu ndio maana fans hawawataki kwa sababu hawajawahi kuingiza pesa yao kwa klabu.Sure wametumia pesa nyingi sana kwenye usajili ambao hauleti matunda halafu magarasa yanapoletwa hata wakati wa kuondoka hayauziki mpaka yamalize mkataba
Hawajawahi kutumia pesa yao kwa usajili inayotumika ni ya klabu ndio maana fans hawawataki kwa sababu hawajawahi kuingiza pesa yao kwa klabu.
Huo ndio wizi sasa mashabiki hawautaki ndio maana tangu 2009 wamkuwa against nao.Sasa Kwa nini waingie mufukoni mwao wakati timu ina billions zimejaa benki na inajitosheleza?
Nadhani lengo kuu la wafanyabiashara wa hivi ni kuchota mshiko zaidi kuliko kuwekeza zao. Kama kina Kroenke kwetu. Ila Kuna wale wanaotaka faraja za makombe kama kina Abramovich ambao watakopesha club pesa zao binafsi kuhakikisha mafanikio yanapatikana kwanza halafu walipwe na club baadae
Uyu mchele rice ndo alichambuliwa sana na kinda garnacho hapa mmepigwaKuna watu hamtaleta timu uwanjani msimu ujao View attachment 2672600
Timu la vilaza
Antony ni takataka ile inajipiga vyenga halafu inaua mashambulizi muda wote na guu lake la mavi,kule right wing ningependa siku moja kocha atuletee Pedro Goncalves chuma kinapiga 7 na 10 katika top performanceMtihan kwa 7hag , atamtumiaje mount alete impact au atageuka Anthony mwingine
Na ameshapewa salary ya £250k/p
Hio kitu ndio inamkera kwelikweli Sheikh Jassim, yeye anaitaka Man Utd kwa mapenzi tu aliyokua nayo kwa club sio kibiashara, hafikirii kabisa faida ya kipesa atakayoipata toka Utd ila anaumiza kichwa kufikiria Utd itafaidika vipi na pesa zake.Sasa Kwa nini waingie mufukoni mwao wakati timu ina billions zimejaa benki na inajitosheleza?
Nadhani lengo kuu la wafanyabiashara wa hivi ni kuchota mshiko zaidi kuliko kuwekeza zao. Kama kina Kroenke kwetu. Ila Kuna wale wanaotaka faraja za makombe kama kina Abramovich ambao watakopesha club pesa zao binafsi kuhakikisha mafanikio yanapatikana kwanza halafu walipwe na club baadae
Mnapoteza muda ,hiyo RW mpeni Sancho ,na aaminiwe kwamba hiyo ndio nafasi yake ,alishafanya hivo BVB akipiga G/A 25+ karibu misimu miwili , hata UCL aliwatungua mancityAntony ni takataka ile inajipiga vyenga halafu inaua mashambulizi muda wote na guu lake la mavi,kule right wing ningependa siku moja kocha atuletee Pedro Goncalves chuma kinapiga 7 na 10 katika top performance
Jamaa huwa anauwa sana kauntaAntony ni takataka ile inajipiga vyenga halafu inaua mashambulizi muda wote na guu lake la mavi,kule right wing ningependa siku moja kocha atuletee Pedro Goncalves chuma kinapiga 7 na 10 katika top performance
Antony ana utoto mwingi ulio tugharimu msimu ulioisha.Jamaa huwa anauwa sana kaunta
Sancho hata mimi naamini RW anaipiga vizuri halafu ni huwa anaingia ndani ya eneo la hatari kirahisi tofauti na akicheza LW.Mnapoteza muda ,hiyo RW mpeni Sancho ,na aaminiwe kwamba hiyo ndio nafasi yake ,alishafanya hivo BVB akipiga G/A 25+ karibu misimu miwili , hata UCL aliwatungua mancity
Tatizo 10hag hataki kukubali kwa Anthony alipigwa , wakati Ni kawaida makocha kukosea , Ila Sasa Sancho mnamyumbisha Mara LW Mara bench Mara RW , lini atajiamini na kutulia position Moja ajue kulink na wenzake
Huyu jamaa 10hag alikuwa anamuhitaji kwani maana naona ni kama ametokea tu out of nowhereFabrizio Romano
Manchester United have agreed £60m package deal for Mason Mount with Chelsea - it's here we go!
• Personal terms agreed weeks ago and face to face talks between clubs made it clear - it's finally done.
• Mount's camp position has always been clear: Man United now or leaving Chelsea as free agent in 2024.
• Fee will be £55m guaranteed plus £5m in add ons.
• Medical tests after the weekend already scheduled and contract at Man United will be valid until 2028,
• Manchester United NEVER left the race for Mason Mount despite reports... and they never entered the race for Moisés Caicedo, it's only Chelsea there.
Huge one for United... here we go!View attachment 2673610
Mna tatizo la Graza, tatizo la Management na tatizo la Ten hag kukosa talent ID , anaweza kuwa kocha mzuri lakin Hana uwezo wa kung'amua profile za wachezaji
Kuna makocha wanavyo hivyo vyote wengine kimoja wapo , Ole Gunnar ana Talent ID ,
Kama Ten hag angekuwa na Talent ID Kama ole guna , Basi hata kwa bajeti ya £100m mngekuwa na timu Bora
Bahati aliyopata ana Nguvu kuliko waliopita , mwenzie Ole alikuwa mzee wa NDIO BOSS
MagwayaKwaiyo maguire anakiwasha sio?
Hio kitu ndio inamkera kwelikweli Sheikh Jassim, yeye anaitaka Man Utd kwa mapenzi tu aliyokua nayo kwa club sio kibiashara, hafikirii kabisa faida ya kipesa atakayoipata toka Utd ila anaumiza kichwa kufikiria Utd itafaidika vipi na pesa zake.
Ukiwa na boss kama sheikh Jasim yaani unatamani hata jumapili na siku za sikukuu uwe unaenda tu kazini, maana ukiwa kazini unakua na furaha zaidi kuliko hata ukiwa nyumbani.