Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sure wametumia pesa nyingi sana kwenye usajili ambao hauleti matunda halafu magarasa yanapoletwa hata wakati wa kuondoka hayauziki mpaka yamalize mkataba
Hawajawahi kutumia pesa yao kwa usajili inayotumika ni ya klabu ndio maana fans hawawataki kwa sababu hawajawahi kuingiza pesa yao kwa klabu.
 
Hawajawahi kutumia pesa yao kwa usajili inayotumika ni ya klabu ndio maana fans hawawataki kwa sababu hawajawahi kuingiza pesa yao kwa klabu.

Sasa Kwa nini waingie mufukoni mwao wakati timu ina billions zimejaa benki na inajitosheleza?

Nadhani lengo kuu la wafanyabiashara wa hivi ni kuchota mshiko zaidi kuliko kuwekeza zao. Kama kina Kroenke kwetu. Ila Kuna wale wanaotaka faraja za makombe kama kina Abramovich ambao watakopesha club pesa zao binafsi kuhakikisha mafanikio yanapatikana kwanza halafu walipwe na club baadae
 
Huo ndio wizi sasa mashabiki hawautaki ndio maana tangu 2009 wamkuwa against nao.
 
Mtihan kwa 7hag , atamtumiaje mount alete impact au atageuka Anthony mwingine

Na ameshapewa salary ya £250k/p
Antony ni takataka ile inajipiga vyenga halafu inaua mashambulizi muda wote na guu lake la mavi,kule right wing ningependa siku moja kocha atuletee Pedro Goncalves chuma kinapiga 7 na 10 katika top performance
 
Hio kitu ndio inamkera kwelikweli Sheikh Jassim, yeye anaitaka Man Utd kwa mapenzi tu aliyokua nayo kwa club sio kibiashara, hafikirii kabisa faida ya kipesa atakayoipata toka Utd ila anaumiza kichwa kufikiria Utd itafaidika vipi na pesa zake.
Ukiwa na boss kama sheikh Jasim yaani unatamani hata jumapili na siku za sikukuu uwe unaenda tu kazini, maana ukiwa kazini unakua na furaha zaidi kuliko hata ukiwa nyumbani.
 
Antony ni takataka ile inajipiga vyenga halafu inaua mashambulizi muda wote na guu lake la mavi,kule right wing ningependa siku moja kocha atuletee Pedro Goncalves chuma kinapiga 7 na 10 katika top performance
Mnapoteza muda ,hiyo RW mpeni Sancho ,na aaminiwe kwamba hiyo ndio nafasi yake ,alishafanya hivo BVB akipiga G/A 25+ karibu misimu miwili , hata UCL aliwatungua mancity

Tatizo 10hag hataki kukubali kwa Anthony alipigwa , wakati Ni kawaida makocha kukosea , Ila Sasa Sancho mnamyumbisha Mara LW Mara bench Mara RW , lini atajiamini na kutulia position Moja ajue kulink na wenzake
 
Fabrizio Romano

Manchester United have agreed £60m package deal for Mason Mount with Chelsea - it's here we go!

• Personal terms agreed weeks ago and face to face talks between clubs made it clear - it's finally done.

• Mount's camp position has always been clear: Man United now or leaving Chelsea as free agent in 2024.

• Fee will be £55m guaranteed plus £5m in add ons.

• Medical tests after the weekend already scheduled and contract at Man United will be valid until 2028,

• Manchester United NEVER left the race for Mason Mount despite reports... and they never entered the race for Moisés Caicedo, it's only Chelsea there.

Huge one for United... here we go!
 
Jamaa huwa anauwa sana kaunta
Antony ana utoto mwingi ulio tugharimu msimu ulioisha.
Ila mimi binafsi bado nina imani nae, nategemea msimu unaofata atabadilika kidogo na kupunguza mbwembwe zake zisizo na maana.
Naimani atakiwasha kama vile alivyokiwasha Grealish msimu ulioisha baada ya kuboronga msimu wake wa kwanza alipotua mliMancity.
Inawezekana pia ni mapenzi yangu tu binafsi kwa talents za kiBrazil ndio yananifanya niwe na matumaini makubwa kwa Antony.
 
Sancho hata mimi naamini RW anaipiga vizuri halafu ni huwa anaingia ndani ya eneo la hatari kirahisi tofauti na akicheza LW.

Zile game za mwisho licha ya kwamba alilrta uzembe mwingi game ya FA cup zilionesha kwamba kule 11 huwa analazimisha tu ila 7 anakichafua haswa.


Pia kama akibaki ndio winga nnayemtegemea kumchezesha striker atayesajiliwa hana ubinafsi mwingi kama Rashford na Antony ambao wakiwa na mpira hawauachii hadi wapoteze.
 
Huyu jamaa 10hag alikuwa anamuhitaji kwani maana naona ni kama ametokea tu out of nowhere
 

Kwaiyo maguire anakiwasha sio?
 

Kwa sababu sisi tuna kroenke, sipendi tabia za matajiri kumnunua timu Kwa mapenzi na kumwaga mihela hovyo. Inaleta unfair advantage flani kwao Kwa sababu timu zingine zinajitahidi kutumia mbinu na akili na kulazimika kuwa wachumi...yeye ana mbinu na akili halafu na mahela kibao ya ziada pia. Nataka timu zote ziwe na mfumo wa kina Glazers na Kroenke, au zote zimilikiwe na Hawa matajiri vichaa . Wewe mwaga Hela na Mimi nimwage Hela tuone mwishowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…