Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wacha tusubiri.
 
Huyu mwamba anafaa zaidi kuchezeshwa winga kuliko RB.
Nilisema hili tangu msimu ule tunataka kumsajili Sancho kwa dau la 100, Ole angecheza karata zake vizuri akamhamishia wing ya kulia tu.

Bado Ten Hag hajachelewa amhamishe Bissaka kuwa Defensive midfield Dalot wing ya kulia halafu atafute beki wa kulia sasa.

Aachane na kusubiri hela Glazers hawana hela hao.
 
Kwamba bisaka apige DM? Mna utani sio bure
 
Bissaka hata wakiamua kumchezesha CB naamini ataperform vizuri sana na kutusahaulisha maumivu tuliyopitia kutoka kwa Maguire.
 
Bissaka hata wakiamua kumchezesha CB naamini ataperform vizuri sana na kutusahaulisha maumivu tuliyopitia kutoka kwa Maguire.
Kwa namna Bissaka ni mchezaji perfect kwa mahitaji ya Ten Hag ndiyo maana baada ya kuanza kumtumia Dalot akawa second choice.
 
Kwa namna Bissaka ni mchezaji perfect kwa mahitaji ya Ten Hag ndiyo maana baada ya kuanza kumtumia Dalot akawa second choice.
Bissaka namkubali sana anaweza kua press resistant mzuri kuliko wachezaji wetu wote, ila kama unamfatilia vizuri kwenye kutoa pasi hua anazingua sana, pasi zake nyingi hua zinaishia kwa opponent's.
 
Mna tatizo la Graza, tatizo la Management na tatizo la Ten hag kukosa talent ID , anaweza kuwa kocha mzuri lakin Hana uwezo wa kung'amua profile za wachezaji

Kuna makocha wanavyo hivyo vyote wengine kimoja wapo , Ole Gunnar ana Talent ID ,

Kama Ten hag angekuwa na Talent ID Kama ole guna , Basi hata kwa bajeti ya £100m mngekuwa na timu Bora

Bahati aliyopata ana Nguvu kuliko waliopita , mwenzie Ole alikuwa mzee wa NDIO BOSS
 
Mwarabu akipewa timu inabidi amrudishe Ole kwenye system. Yule jamaa wachezaji wote aliowataka wanakiwasha sasa hivi.

Bellingham alipewa mpaka tour ya Carrington. Ila Glazers wametutesa sana aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…