Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chelsea wala hawalazimishi Mount kubaki ila fikeni bei iliyotaja mbona wakina sancho na Antony mlinunua £100m
 
Chelsea wala hawana presha ya kumuuza Mount maana tayari washauza wachezaji sita ni Man ndo yenye shida na Mount na mzigo kusajiri hamna
Wachezaji mliouza wote mliwanunua, so kwenye accounts book ni hasara.

Mount ni full profit, hamkumnunua.
 
Wachezaji mliouza wote mliwanunua, so kwenye accounts book ni hasara.

Mount ni full profit, hamkumnunua.
Ww uza wachezaji wako uliokua nao kama utapata hata hio faida kibaya zaidi hata ofa huzipati

Fikeni bei mzee muache maneno Mount atawapa faida kubwa sana mkimsajiri hata hiyo hela italipa kwenu ni mchezaji mzuri pia umri mdogo
 
Chelsea wanavyotukazia kwa Mount wanajikuta ndio Ajax basi


Waombe hizo sajili zao zifanye vizuri maana hiyo mikataba ya miaka 8 waliyowapa wachezaji wakifeli stress zake zitageuka kama za akina Jones mtu ana mkataba mrefu kaflop huku hakuna timu inayomtaka.
 
Chelsea sio kwamba inamuitaji Mount unakosea chelsea wamewasoma nyinyi ni wazee wakupigwa hela wanajua fika nyinyi ndio mnashida nae
 
Nyinyi wachezaji wenu hawauziki tofauti na wa kwetu mna magalasa wengi
 
Ww uza wachezaji wako uliokua nao kama utapata hata hio faida kibaya zaidi hata ofa huzipati

Fikeni bei mzee muache maneno Mount atawapa faida kubwa sana mkimsajiri hata hiyo hela italipa kwenu ni mchezaji mzuri pia umri mdogo
 
Hii timu matajiri hawaioni siwasikii wakisogeza pua
Timu inamilikiwa na mashabiki na kila kitu kinaenda sawa
Walishatengeneza EGO sasa kila mtu anaogopa kuvuruga EGO yao...shida kubwa ya vilabu vya EPL vikimilikiwa na mashabiki vitafanya vibaya kwasababu ya ujuaji.
Unakumbuka wakulima wa Borrusia D kule ujerumani na timu yao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…