60 mzee hahah
Hii pesa wametoa nani sasa au zimetoka hazina60 mzee hahah
Acheni mikwara mshazidiwa EPL na Man City timu iliyoanza kuinuka baada ya 2010Hivi mnajua timu yenu inaelekea kufilisika?
Hivi mnajua timu yenu inaelekea kufilisika?
Acheni mikwara mshazidiwa EPL na Man City timu iliyoanza kuinuka baada ya 2010
Sasa timu inafikisikaje wakati inaingia chini ya Ownership mpya ama inaachwa bila mmilikiManchester Probability Of Bankruptcy | (NYSE:MANU) - Macroaxis
Manchester United's odds of distress is under 19% at this time. It has tiny probability of undergoing some form of financial crunch in the near future.www.macroaxis.com
Hii jamii forum ya siku hizi inatia kinyaa hata kufungua Uzi hivi hii takataka nayo ni member wa Jamii forum kweli?Nyie matakataka munaleta mazoeya na timu etu. Munamutaka Mount ili mukaue kiwango chake...
Kama Harvez mmefanikiwa kumuuza kwa 65M basi Mount mnatakiwa mkomae mpate hata 80M.Nyie NYUMBU acheni masikhara kabsa ongezeni hela tuwape Mount. Ila poleni sana nyie kila sku ni kupigwa tu, sasa Mount kweli ni wa kuanzia 60M kabisa?
Onana kipa wewe mze na ni stoper mzuri tu.kuhus nizamu anayo SanaHuyu EtH akimsajili Onana nitaamini kweli ni jasusi. Kipa anayepiga tu pasi na kujitengenezea mazingira ya kufanya makosa na uwezo mdogo kwenye shot stopping hatufai.
Nidhamu yake pia ni mbovu toka akiwa Ajax. EtH akae chini atulize kipara, asilete kujuana sana na watu.
Huyu EtH akimsajili Onana nitaamini kweli ni jasusi. Kipa anayepiga tu pasi na kujitengenezea mazingira ya kufanya makosa na uwezo mdogo kwenye shot stopping hatufai.
Nidhamu yake pia ni mbovu toka akiwa Ajax. EtH akae chini atulize kipara, asilete kujuana sana na watu.