Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani humu naona mna lia lia tu na kutia huruma, poleni sana. NYUMBU kama NYUMBU, Glazer daima mbele hakuna kuuza timu wala nini.
 
Nyie NYUMBU acheni masikhara kabsa ongezeni hela tuwape Mount. Ila poleni sana nyie kila sku ni kupigwa tu, sasa Mount kweli ni wa kuanzia 60M kabisa?
Kama Harvez mmefanikiwa kumuuza kwa 65M basi Mount mnatakiwa mkomae mpate hata 80M.
Inasemekana hizo bei zinazotajwa ni za kwenye makaratasi ili kubalance mahesabu na kukwepa rungu la FFP, ila uhalisia Kai Harvez ameuzwa kwa 25M na Mount Man Utd tutatoa 20M.
Ngojeni tulipie hizo 20M halafu tuwachome kwa Takukuru ili mshushwe daraja kabisa kenge nyie.
 
Huyu EtH akimsajili Onana nitaamini kweli ni jasusi. Kipa anayepiga tu pasi na kujitengenezea mazingira ya kufanya makosa na uwezo mdogo kwenye shot stopping hatufai.

Nidhamu yake pia ni mbovu toka akiwa Ajax. EtH akae chini atulize kipara, asilete kujuana sana na watu.
 
Onana kipa wewe mze na ni stoper mzuri tu.kuhus nizamu anayo Sana

Chukueni uyoo
 

Umekurupuka mzee do your homework again.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…