Wewe jamaa ulipoteleaga wapi ,hujawahi kumkubali Rashford nakumbukaHii timu itakuja kuniua kwa stress, kipindi cha usajili shida, ligi ikianza ni shida vile vile
Na ana mikimbio mizuriDefensive striker,yaani!
Kuna mdau alikuwa anasema ana press sana
So mbovu kihivyo kama mnavyodhani fuatilia stats zake katika kote alikopita kafeli England tuWeghorst sio mbovu??
Jesus Christ..!!!
Hamna kitu..So mbovu kihivyo kama mnavyodhani fuatilia stats zake katika kote alikopita kafeli England tu
Sio striker wa hadhi yetu ila angecheza enzi za Ferguson kwa style ya mpira wa babu full kumwaga maji ungeuona ubora wake.
Sijasema kwamba ni top striker.
Note:Huna winga kumchezesha forward yoyote pale United yule huyo Haaland angekuwa United tungemkataa nafuu hata alivyoendaga City tungeua potential yake kama kawaida yetu,hata Kane mwenyewe anaweza kuonekana Sarpong klabuni kwetu.
Mpira hawezi kutuliza akiwa Man United tuHamna kitu..
Mtu hawezi kutuliza hata mpira..
Straika wa championship aliyekosa namba Burnley..Mpira hawezi kutuliza akiwa Man United tu
Ni kawaida sisi kuwafanya wachezaji hivyo that's why wanatukataa tunaotaka kuwasajili
Hakukosa namba alisajiliwa na Burnley January mwaka jana akiwa regular starter toka Wolfsburg ndio waliposhuka daraja alikataa kucheza championship wakaamua kumpeleka Besiktas kwa mkopo.Straika wa championship aliyekosa namba Burnley..
Kuwa serious kidogo bana.
So tutegemee ataenda timu kubwa tu sio baada ya hapa sio?Hakukosa namba alisajiliwa na Burnley January mwaka jana akiwa regular starter toka Wolfsburg ndio waliposhuka daraja alikataa kucheza championship wakaamua kumpeleka Besiktas kwa mkopo.
Sema unfortunately jamaa bila shaka wengi mmemjua mwaka huu eti hana namba
Haendi timu kubwa kwa age yake ni chaguo la Burnley kuendelea naye ama arudi AZ AlkmaarSo tutegemee ataenda timu kubwa tu sio baada ya hapa sio?
Nipo mkuu, tunasubiri tu wa Qatar watutoe kifungoniWewe jamaa ulipoteleaga wapi ,hujawahi kumkubali Rashford nakumbuka
Kwa jinsi team ilivyo hakuna mchezaji ambaye hatatamani kujiunga ni kama utd enzi za fergieKovacic huyo anaenda Etihad.
Utashindana vipi na hawa watu?..
Wanaleta tu vyuma..
Wametupiga bei gani mkuu kati zile 120M ambazo ndio zimetengwa kwa ajili ya dirisha zima la usajili ?Mount tyr huko dili lishakamilika bado announcement tuu
60 mzee hahahWametupiga bei gani mkuu kati zile 120M ambazo ndio zimetengwa kwa ajili ya dirisha zima la usajili ?
Duuh taabu kwelikweli60 mzee hahah