Sijakuelewa unaongelea mpira au roho mbaya zidi ya man uNachosema sio kila timu iwe na kipa aina ya Ramsdale,Onana,Steele, Ederson na Becca.. Nyie man u Bakini ivyo ivyo tu na degea mbona ni kipa mzuri sana
Kwa soka la sasa ni lazima,De Gea nyakati zile za SAF ndio aina ya kipa waliokuwa wanahesabika bora sio miaka hii ya build up za kuanzia nyuma.Nachosema sio kila timu iwe na kipa aina ya Ramsdale,Onana,Steele, Ederson na Becca.. Nyie man u Bakini ivyo ivyo tu na degea mbona ni kipa mzuri sana
Upo sahihi ,niliangalia mechi ya FA manjesta vs Mancity niliona Kuna buildup mlizifanya nyingi tu na zilifanikiwa , Sasa pale mtoe muweke Onana ,means Kama kwa timu Kama city buildup zilifanikiwa ,Basi kwa middle teams una uhakika wa kushinda mechi nyingi na goals nyingiKwa soka la sasa ni lazima,De Gea nyakati zile za SAF ndio aina ya kipa waliokuwa wanahesabika bora sio miaka hii ya build up za kuanzia nyuma.
Maddson Bruno guimares Barella
Nimezipokea kwa masikitiko sana
Kwa soka la sasa ni lazima,De Gea nyakati zile za SAF ndio aina ya kipa waliokuwa wanahesabika bora sio miaka hii ya build up za kuanzia nyuma.
Kawaida hiyo sema ni situation ya timu haijatulia huyo mtu hayupo kwenye mipango na Ten Hag usidanganyike na positive comments zake hata kwa Ronaldo alifanya hivyo full kumpamba ila behind the scene ni ubaya ubayaMashabiki bwana.
Hadi sasa as it stands bila mabadiliko ya kikosi game 5 za mwanzo tukijitutumua sana ni point 4-6
Ni mechi nyingi sana msimu huu tumetoka uwanjani "kwa asante De Gea" , team imeoza kuanzia mabeki, viungo, huko mbele ndio viazi kabisa.Watu wanaomtetea De Gea wakaangalie mechi 2 tu za msimu huu: Barcelona - Old Trafford & Sevilla - Pizjuán Stadium.
De Gea ni shot stopper mzuri lakini yeye ndiyo sehemu ya magoli mengi tunayofungwa. De Gea shots nyingi anazozuia huwa ni matatizo anayojitengenezea yeye mwenyewe.
De Gea akiwa golini anazubaa sana hata zikipigwa cross huwa hafuati.
Wapinzani wameshajua udhaifu wa De Gea wanachofanya ni ku-press tu kitu kinachomfanya De Gea kubutua mpira na timu kupoteza possession kizembe.
No No No ile game na Sevilla tuliyopigwa 3 si mapema kabisa alichomesha yeye goli la kwanza,sub ilihusika vipi hapo?Hata la 3 ilikuwa ni uzembe wake anatoka hadi pale halafu anashindwa hata kupiga mpira kimahesabu hapo utamlaumu vp kocha.Ni mechi nyingi sana msimu huu tumetoka uwanjani "kwa asante De Gea" , team imeoza kuanzia mabeki, viungo, huko mbele ndio viazi kabisa.
Hizo game zote ulizotolea mfano tulifeli kwasababu ya hesabu za kocha katika sub, wala haikuwa kawasababu De Gea alikuwa anapoteza possession.
Mechi kama ile tuliyopigwa goli 4 na BENTIFORD utasema ni kipa? Ila ya Liverpool tuliyokula goli 7 utasema ni kipa? Zile goli 6 za City utasema ni kipa? Ile game tuliyosuluhu na Crystal palace licha ya kuongoza goli moja tulipigwa msako mkali sana tukapona kwasaabu ya De Gea.
Mechi zetu dhidi ya Spurs, Sevilla, Barca, ARSENAL (ile ya 3-2) na nyingine nyingi, ni mechi tulizopoteza kipumbavu licha ya kutangulia kwasababu ya ujinga wa Ten Hag kwenye sub zake. Ni mara chache sana Ten Hag apige hesabu za kufanya sub kisha zifanikiwe.
Kwa mfano wa mechi ulizotoa bado sio sawa kumtupia lawama De Dea.
ITAFUTWE SABABU NYINGINE GENUINE, SIO KUSEMA DE DEA NI KIPA MBOVU.
Glazers na wauze timu haraka tuangalie usajili mpya, Kikosi cha sasa ni mtihani kwa msimu mpya.
Hakuna anayesema De Gea ni mbovu ila kama walivyo wachezaji wengine ana mapungufu yake na hayo mapungufu ni udhaifu kwenye mfumo wa Ten Hag.Ni mechi nyingi sana msimu huu tumetoka uwanjani "kwa asante De Gea" , team imeoza kuanzia mabeki, viungo, huko mbele ndio viazi kabisa.
Hizo game zote ulizotolea mfano tulifeli kwasababu ya hesabu za kocha katika sub, wala haikuwa kawasababu De Gea alikuwa anapoteza possession.
Mechi kama ile tuliyopigwa goli 4 na BENTIFORD utasema ni kipa? Ila ya Liverpool tuliyokula goli 7 utasema ni kipa? Zile goli 6 za City utasema ni kipa? Ile game tuliyosuluhu na Crystal palace licha ya kuongoza goli moja tulipigwa msako mkali sana tukapona kwasaabu ya De Gea.
Mechi zetu dhidi ya Spurs, Sevilla, Barca, ARSENAL (ile ya 3-2) na nyingine nyingi, ni mechi tulizopoteza kipumbavu licha ya kutangulia kwasababu ya ujinga wa Ten Hag kwenye sub zake. Ni mara chache sana Ten Hag apige hesabu za kufanya sub kisha zifanikiwe.
Kwa mfano wa mechi ulizotoa bado sio sawa kumtupia lawama De Dea.
ITAFUTWE SABABU NYINGINE GENUINE, SIO KUSEMA DE DEA NI KIPA MBOVU.
Mzigo tayari kwa hewa 👍
Angalia hii 👇Ni mechi nyingi sana msimu huu tumetoka uwanjani "kwa asante De Gea" , team imeoza kuanzia mabeki, viungo, huko mbele ndio viazi kabisa.
Hizo game zote ulizotolea mfano tulifeli kwasababu ya hesabu za kocha katika sub, wala haikuwa kawasababu De Gea alikuwa anapoteza possession.
Mechi kama ile tuliyopigwa goli 4 na BENTIFORD utasema ni kipa? Ila ya Liverpool tuliyokula goli 7 utasema ni kipa? Zile goli 6 za City utasema ni kipa? Ile game tuliyosuluhu na Crystal palace licha ya kuongoza goli moja tulipigwa msako mkali sana tukapona kwasaabu ya De Gea.
Mechi zetu dhidi ya Spurs, Sevilla, Barca, ARSENAL (ile ya 3-2) na nyingine nyingi, ni mechi tulizopoteza kipumbavu licha ya kutangulia kwasababu ya ujinga wa Ten Hag kwenye sub zake. Ni mara chache sana Ten Hag apige hesabu za kufanya sub kisha zifanikiwe.
Kwa mfano wa mechi ulizotoa bado sio sawa kumtupia lawama De Dea.
ITAFUTWE SABABU NYINGINE GENUINE, SIO KUSEMA DE DEA NI KIPA MBOVU.
Sijakuelewa unaongelea mpira au roho mbaya zidi ya man u
Huyo huwa anachoma sana ni vile akina Martinez huwa wanafuta mistakes zake na hiyo kitu akaendeleza akiwa na akina Maguire ambao hawana ubora.Angalia hii
Mechi ya Real Betis alifanya kosa hilihili na yote alitoka salama. Mechi zote za msimu huu distribution yake imeigharimu timu kupoteza possession. Mpira umebadilika, DDG ni kipa wa zamani. Kudaka siyo tatizo kwasababu uchezaji wake una-influence aina yetu ya uchezaji kwa % kubwa sana.
De Gea huwa anasifiwa akidaka ila mara nyingi yeye ndiyo huwa chanzo cha tatizo.Huyo huwa anachoma sana ni vile akina Martinez huwa wanafuta mistakes zake na hiyo kitu akaendeleza akiwa na akina Maguire ambao hawana ubora.
Makosa hayo tayari ni udhaifu na hauvumiliki,naomba tu July ifike haraka tuone mustakabali
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app