Manchester United (Red Devils) | Special Thread

"Kilichobaki ni kula maandazi tu."

We're not serious as a club. Kuanzia wamiliki, kocha na wachezaji.

Tumewapa City treble. Mechi ya FA Cup wachezaji wetu walichoweza ni kuongea tu vitendo sifuri. Walijisifu kuwa tutazuia City kushinda treble (Rashford) lakini hakuna wanachojali kuhusu hii timu. Garnacho pekee ndiyo alionyesha kujali na kuipambania jezi ya United.

Baada ya fainali ya FA Cup, De Gea alipaswa kuonyeshwa mlango wa kutokea ila bado kocha anaruhusu aongezwe mkataba.

Mchezaji kama Sancho ana mfululizo wa misimu mibovu ila jana kaonekana tayari anawahi vacation.

Hatuwezi kuwafikia City bila kuwa na wamiliki walio na mpango kazi na wapo tayari kuwekeza kwenye mawazo ya kocha na kuwa na watu wenye viwango na ushindani ktk nyadhifa mbalimbali ndani ya club.

Hatuwezi kuwafikia City tukiwa bado tunawategemea wachezaji kama De Gea, Martial, Maguire, Fred, McTominay, Elanga, Sancho.

Hatuwezi kuwafikia City tukiwa na kocha asiyefanya maamuzi magumu. Kumpa mkataba De Gea ni kosa la kwanza. Tutalipa mishahara mikubwa kwa watu kukaa bench na hawana uwezo.

United ni lazima ikubali kumalizana na wachezaji hasa legends, huwa ni ngumu sana sisi kuwatimua wachezaji. Madrid wamemuachia Benzema ingekuwa ni sisi angebaki tutafute backup yake. Siyo kazi ngumu kujua kuwa De Gea muda wake ktk top level football unamalizikia.
 
Hakika msikumbatie watu.. Anzisheni upya.

Hlf mpeni team mwarabu sema tu siasa na roho mby wa wazawa pale England khs mwarabu lkn ndo wanafaa sana kuwavusha ili muweze kwenda mguu kwa mguu na sisi. Vinginevyo tena na pep akiwepo asee makombe makubwa mtayasikia tu bila investment za maana kwny team.
 
Kama sijakosea,kuna kipindi Onana alikuwa anazurula bila timu kabla Inter hawajamsajili na imewalipa.
Hawa Scouts wa Man Utd sijui huwa wanafanyia wapi kazi zao za kutafuta talents!
Kwa nilichoona onana anapass accuracy nzuri kushinda middle wetu fred na mac
halafu tunataka kupambania kombe. Huu msimu ujao nisipoona angalau wachezaji 6 wamesepa itakua basi tena,tena sita wale wa first team bila hivyo tutamsindikiza pep miaka nenda rudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…