Nyumbu hii timu akipewa Mmarekani mta endelea kuchezea kwenye matofali ya kuchoma ya toka miaka ya mababu
Under current rules, UEFA won't approve Man Utd in next season's Champions League if Ratcliffe takes over. INEOS already owns OCG Nice, which could create conflicts with UEFA regulations on single ownership of multiple European competition teams. #UEFA #ManUtd #INEOS
Mpaka Sir Jim atambulishwe Kama mmiliki mpya tutakuta sokoni amebaki Vicent aboubakari
NEW: Tottenham chairman Daniel Levy refuses to sell Harry Kane to Manchester United. Real Madrid are working on a deal and hope to sign him for around €80M. #RMFC #THFC
(via @jfelixdiaz)
Uyu mbwa anakera sanaTimu anaenda kupewa Sir Jim , muarabu akafanye biashara ya Tende na ngamia
Sir Jim Ni mmarekani pia amekubali masharti ya kuuziwa Shea kiasi
Safi Sana Joel na Avram Watoto wa marehemu mzee Grazzer
“It has emerged in recent weeks that Sir Jim Ratcliffe’s bid feels like it is in a really strong position, they have gone into detail in negotiations. There is optimism that it will win in the end.” [@David_Ornstein on the #mufc sale]
Huyu mbwa anajua kabisa muarabu akichukua timu kazi atakuwa nayo akikutana na utd goli zitaanzia 5 kwahiyo anachofanya hapo ni kupiga ramli muarabu asipewe timuTimu anaenda kupewa Sir Jim , muarabu akafanye biashara ya Tende na ngamia
Sir Jim Ni mmarekani pia amekubali masharti ya kuuziwa Shea kiasi
Safi Sana Joel na Avram Watoto wa marehemu mzee Grazzer
“It has emerged in recent weeks that Sir Jim Ratcliffe’s bid feels like it is in a really strong position, they have gone into detail in negotiations. There is optimism that it will win in the end.” [@David_Ornstein on the #mufc sale]
Grazzer family nawaelewa ,hawataki kutoa pesa kubwa Tena ,ile €250m last season inawauma Sana
Ilichezewa vibaya Sana
Yaani €100m kwa Anthony?
Safari hii 7 hag apambane na bajeti finyu , na Timu hakuna kupewa muarabu yeyote
Safi Sana Grazzer hebu baneni matumizi tuone
Mbona unamuogopa muarabu Sheikh hamissGrazzer family nawaelewa ,hawataki kutoa pesa kubwa Tena ,ile €250m last season inawauma Sana
Ilichezewa vibaya Sana
Yaani €100m kwa Anthony?
Safari hii 7 hag apambane na bajeti finyu , na Timu hakuna kupewa muarabu yeyote
Safi Sana Grazzer hebu baneni matumizi tuone
Bora afanye tu kujiondokea zake kuliko kila uchao kuwavumilia glazzers ambao mpaka Sasa hawaeleweki.Jamani leo ndio siku ambayo ikipita Jassim anaachana na ishu ya kuinunua Man U.
Leo ndio deadline yake kwa maana hawa glazers hawaeleweki.
Muarabu atakuja kumwaga pesa ovyoMbona unamuogopa muarabu Sheikh hamiss