Hatuwezi kulipa €80m kwa Mount, haitatokea. Maximum €55m.Manjesta shida Ni management ,Chelsea Wanataka wawauzie mount kwa €80m halafu wao hiyo hiyo hela wakamchukue Caicedo kwa £75-80m (€80-85m)
Wakati huo huo manjesta unaona kabisa wanamuhitaji mtu Kama Caicedo ,
Umri mdogo, anacheza #8 ,#6 anacheza inverted RB , Ni press resistant
Kitu kingine Caicedo anatoa priority kwa timu inayocheza UCL ,
Kituko Sasa Manjesta wanakomaa na mount ambaye kwa misimu miwili amekuwa na kiwango duni
Tumlaumu nani?Liverpool Wana bajeti finyu Sana lakini kwa usmat wao wamempata MacAllister kwa less than £60m .
Timu itakayompata Caicedo itasumbua Sana
hatujawahi kuwa na shida ya matumizi ya fedha, yapo mengi ya ujinga anayoandika huyo hamis77 na pia yamo mengi ya msingi anayoandika huyo bwana.Hatuwezi kulipa €80m kwa Mount, haitatokea. Maximum €55m.
Kwenye eneo la #8 Mount ni hatari zaidi. Caicedo akija atatumika kama IFB. Pia Case akiwa hayupo anaweza ku-cover #6. Jamaa ni kiraka.
Tatizo letu ni pesa tu.
Eeh hii kali na mpyandani ya misimu miwili ya premier league, david de gea amefungwa magoli 100.
2021/ 2022 - magoli 57
2022/23 - magoli 43
Tatizo la United siyo pesa ni matumizi sahihi ya pesa zake.hatujawahi kuwa na shida ya matumizi ya fedha, yapo mengi ya ujinga anayoandika huyo hamis77 na pia yamo mengi ya msingi anayoandika huyo bwana.
anachokosea yeye ni njia sahihi ya kuwasilisha.
timu inayotumia paundi millioni 150 hadi 200 kila mwaka huwezi kusema ina ukata wa fedha.
Pamoja na ubovu wa management Man United ndiyo timu ambayo inawachezaji legelege kuliko timu zote za EPL, ukiondoa defenders na Casemiro wachezaji wengine wote hawakuwa na uwezo wa kushinda duel yoyote.labda Chief Mkwawa ana takwimu sahihi.tatizo kuu linalotukabili hatujui muda sahihi wa kufanya maamuzi yenye maslahi mapana kwa klabu.
mfano:
chini ya ralf rangnick tulishuhudia kupewa muda mwingi wa kucheza anthony elanga, kwa klabu ilio makini ingelihakikisha inamuweka sokoni dirisha lililopita na tungelipata fedha nzuri.
mimi ninayeishi huku unguja upembani nilishamuona anthony elanga hana future njema hapo klabuni, ina maana uongozi wa manchester united wao hawakuliona hilo?
leo hii tunamweka elanga kwa thamani ya paundi millioni 10
liverpool wamemuuza neco williams kwa paundi millioni 17 kwenda nottingham forest.
liverpool wamemuuza harry wilson kwa paundi millioni 14 kwenda Fulham.
liverpool wamemuuza solanke kwa paundi millioni 19 kwenda bournermouth
hawakusita kuwaweka sokoni kwa sababu walishaona hawana mpango nao wa muda mrefu licha uchanga wa umri wao.
walichokifanya wao ni kuwabrand wachezaji wao.
full stop
manchester city walimuuza bazunu kwenda southampton, yaani city wamepata paundi millioni 13 kwa golikipa anayecheza Kikosi B.
MAN CITY hao hao wamemuuza lavia kwenda southampton kwa paundi millioni 15 huku wakiweka kipengele cha kumnunua tena kwa paundi millioni 40, huyu lavia naye alicheza team B.
sisi mpaka leo tunaumiza kichwa juu ya dean henderson, yaani kimasihara masihara tunazikalia paundi millioni 25 hadi 35 kwenye makalio ya carrington.
Team ilio serious haiwezi kumfikiria scott mctominay kwa zaidi ya mara mbili, newcastle united walishaonyesha nia ya kumhitaji lakini klabu inasita kupokea paundi millioni 25 hadi 35 kwa mpuuzi kama yule.
unajiuliza hii klabu ya manchester united inakhofia kitu gani kwa kumpoteza mctominay?
uza mctominay baadae mnunue mathew nunez wa wolves,
umepoteza nini?
tuna safari ndefu sana
Na msimu ujao atafungwa mengi zaidindani ya misimu miwili ya premier league, david de gea amefungwa magoli 100.
2021/ 2022 - magoli 57
2022/23 - magoli 43
Ole Gunner STumlaumu nani?
View attachment 2646938