Kikosi hiki unaweza kuchukua ubingwa wa epl na kuleta ushindani UEFA? sidhani kama itawezekana kwa Man u, unless wanataka kuwa wasindikizaji.Kama €250m ya uhakika ipo tuachane na Kane.
ST: Rashford / Hojlund
RW: Antony / Amad / Pellistri
LW: Sancho / Garnacho
View attachment 2646385
Haujui mpiraKama €250m ya uhakika ipo tuachane na Kane.
ST: Rashford / Hojlund
RW: Antony / Amad / Pellistri
LW: Sancho / Garnacho
View attachment 2646385
AsanteeKikosi hiki unaweza kuchukua ubingwa wa epl na kuleta ushindani UEFA? sidhani kama itawezekana kwa Man u, unless wanataka kuwa wasindikizaji.
Sawa.Haujui mpira
Context:Kama €250m ya uhakika ipo tuachane na Kane.
ST: Rashford / Hojlund
RW: Antony / Amad / Pellistri
LW: Sancho / Garnacho
View attachment 2646385
Hatuwezi kusajili beki wa kati wawili labda mmoja tuContext:
Mount anakuja kucheza kama right sided no 8.
Timber siyo overlapping RB so tutamhitaji Mount ku-link na Antony. Pressing yao itakuwa ya hatari sana.
Kwenye build up tutaweza kucheza na back 5 (3-2) ya Martinez, Min-Jae na Timber wakitengeneza 3 at the back kwasababu Timber ni mzuri kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma. Shaw inverted kuwa pivot pamoja na Casemiro.
Pia tunaweza kucheza na 2 CBs mbele yao kukiwa na 2 mids. Tukiwatumia FBs Shaw na Dalot (overlapping RB)
Costa kama ball playing GK.
Hojlund kama backup striker, hapo tutapata a balanced team bila hivyo £100m kwa Kane timu itakuwa na matobo mengi.
Kibibi kizee cha turin juventus lazima apite na mmoja hapaAll these players are available on a free transfer this summer when their contracts expire at the end of the month...
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2645871
Ni kitendo tu cha kumuuza Wan-Bissaka na replacement yake kuwa Timber (inverted RB). Kim Min-Jae anakuja kama right sided CB.Hatuwezi kusajili beki wa kati wawili labda mmoja tu
Ww unaliona hilo likitokea? Progress yetu haiendii kwa haraka kiasi hiko...Ni kitendo tu cha kumuuza Wan-Bissaka na replacement yake kuwa Timber (inverted RB). Kim Min-Jae anakuja kama right sided CB.
Naliona likitokea maana usajili wa Mount una tija zaidi tukimpata Timber.Ww unaliona hilo likitokea? Progress yetu haiendii kwa haraka kiasi hiko...
Unamuuza Bissaka na unabaki na Dalot na Timber??Ww unaliona hilo likitokea? Progress yetu haiendii kwa haraka kiasi hiko...
Mmh hatuwezi kusajili beki wa kati wawili na wakati huo huo tunasajili kipa nafikir wataangalia sehem muhimu zaid...alafu saiv Manchester imebadilika sana kulinganisha na misimu ya nyuma kwenye soko la usajili hatuna tetesi nyingi kama ilivyokuwa awalii..hizi tetes za mount huenda ni za kuongeza thaman ya mchezaji lakn sizani kama ni za uhakika maana ndio Kinachofanyika sana mchezaji anahusishwa na Manchester kumbe ni kwania ya kuongeza thaman yake sokoniNaliona likitokea maana usajili wa Mount una tija zaidi tukimpata Timber.
Baada ya kumkosa De Jong, Timber ni ball carrier mzuri wakati Mount akiwa RCM anafanya underlapping runs & Antony akiwa juu kulia kutengeneza space.
Tetesi za Mount ni za kweli, anahitajika na EtH. Tunahitaji sana no 8. Tukicheza na double 8s Harry Kane ni striker atakayetufaa sana kwa uwezo wake wa ku-drop deep na kuwa kama no 10 tatizo ni budget bado Madrid nao msimu huu wataingia sokoni kutafuta striker wanaweza kutuharibia mipango yetu.Mmh hatuwezi kusajili beki wa kati wawili na wakati huo huo tunasajili kipa nafikir wataangalia sehem muhimu zaid...alafu saiv Manchester imebadilika sana kulinganisha na misimu ya nyuma kwenye soko la usajili hatuna tetesi nyingi kama ilivyokuwa awalii..hizi tetes za mount huenda ni za kuongeza thaman ya mchezaji lakn sizani kama ni za uhakika maana ndio Kinachofanyika sana mchezaji anahusishwa na Manchester kumbe ni kwania ya kuongeza thaman yake sokoni
Graza kinachowaponza wametoa Uhuru mkubwa watu washike nyadhifa ambazo Ni muhimu Sana ,Umeanza vibaya umemaliza vizuri. Kubali tatizo la United linaanzia kwa Glazers kwasababu wao ndiyo wapo juu.
Ila kidogo sasa hivi timu ina muelekeo kocha anasajili wachezaji wa system yake na siyo majina.
Usajili wa Antony bado siuelewi €100m ni pesa nyingi sana. Bado ni raw talent, labda kocha anaamini atampika ataiva.
Madrid naona wameweka nguvu kwa Kane ,wamebakiwa na Rodrigo na Vini Jr tu kwenye attacking yaoContext:
Mount anakuja kucheza kama right sided no 8.
Timber siyo overlapping RB so tutamhitaji Mount ku-link na Antony. Pressing yao itakuwa ya hatari sana.
Kwenye build up tutaweza kucheza na back 5 (3-2) ya Martinez, Min-Jae na Timber wakitengeneza 3 at the back kwasababu Timber ni mzuri kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma. Shaw inverted kuwa pivot pamoja na Casemiro.
Pia tunaweza kucheza na 2 CBs mbele yao kukiwa na 2 mids. Tukiwatumia FBs Shaw na Dalot (overlapping RB)
Costa kama ball playing GK.
Hojlund kama backup striker, hapo tutapata a balanced team bila hivyo £100m kwa Kane timu itakuwa na matobo mengi.
Halafu timu zinajua United ni sehemu ya kuchota pesa. Mpaka sasa haieleweki pesa ya usajili ni kiasi gani.Madrid naona wameweka nguvu kwa Kane ,wamebakiwa na Rodrigo na Vini Jr tu kwenye attacking yao
Na Kane Sion akiuzwa chini ya €150m kwa timu za EPL
Hapo una Disturbe bajeti yote
Diogo Costa ana release clause ya €75m
Kim ana release clause nadhan kwenye €50m
Hapo Chelsea Wanataka €70-80m kwa mount
Glazers msimu huu ndiyo wanatupoteza kabisa maana kama kuuza timu kwa muda uliobaki ni mchache sana.Graza kinachowaponza wametoa Uhuru mkubwa watu washike nyadhifa ambazo Ni muhimu Sana ,
Nikweli wanabeba pesa mingi Sana, lakini bado kile kidogo wanachokitumia kwa usajili Ni kikubwa ,hamjawahi kuwa na tatizo la kusajli wachezaji wa €80-100m
Kama Ni hivo tatizo lipo kwa uongozi, Graza hawajui mpira inajulikana , walipotoa mianya waletwe watu wa mpira bado hawakuletwa watu wampira
Leo timu akichukua muarabu bado mtasajili wachezaji wa Bei zile zile ambazo alikuwepo Graza ,
Siku mtakapoleta watu Kama kina Van der sar , Luis ocampos ,na watu wanaofanana mitazamo Kama hai, Katika uongozi wenu , hamtaona ubaya wa Grazzer.
Hivi unajua pale city wachezaji wao ukimtoa jack Ni wa Bei €30-60m tu ,
Tatizo ni pesa. Hiki kikosi siyo chini €350m. Kama mashabiki kuna muda inabidi tuwe realistic, United kubeba ubingwa wa EPL msimu ujao ni ngumu sana.Kikosi hiki unaweza kuchukua ubingwa wa epl na kuleta ushindani UEFA? sidhani kama itawezekana kwa Man u, unless wanataka kuwa wasindikizaji.
Manjesta shida Ni management ,Chelsea Wanataka wawauzie mount kwa €80m halafu wao hiyo hiyo hela wakamchukue Caicedo kwa £75-80m (€80-85m)Tatizo ni pesa. Hiki kikosi siyo chini €350m. Kama mashabiki kuna muda inabidi tuwe realistic, United kubeba ubingwa wa EPL msimu ujao ni ngumu sana.
Kile kikosi cha mwanzo kinafaa sana maana kipo balanced ila kama pesa ipo hiki ni cha ubingwa kabisa.View attachment 2646868