Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Harry magwaya anataka apewe £10m ili aondoke Manjesta


Utapeli unaendelea
FB_IMG_1685692668587.jpg
 
Naam

nimerudi rasmi kutema madini

Jadon SANCHO msimu huu
Matches 29
Goals 3
Asists 3

Hizi takwimu zinakuwaga za mabeki tu sio winger

Itoshe kusema ni moja wapo ya Sajili Za Kitapeli kuwahi kutokea EPL

hii dunia haitakwisha utapeli

nakwenda zangu


NB: Pichani Ni manjesta ya Tz Katika kombe la Abiola cup 1993
IMG_20230531_150605.jpg
 
NAAM

Katika pitapita zangu kutafuta . Sajili Za Kitapeli . Nikadandia mukweche wangu hadi Mbugani Serengeti nikakutana na huyu mtu

Odion jude ighalo Ekei silent Venom

Alizitafuna kimya kimya kisha akasepa ghafla

Sikuwai kufikiria hadi wachina wanaweza kua matapeli kiasi hiki nilijua ni wataaalamu wakomufu kumbe nao ni wakali wahizi kazi

Hii dunia haitakwisha utapeli

Nakwenda zangu
FB_IMG_1685695302313.jpg
 
Huu hapa ndio mpira wa janjajanja uliompa ubingwa Arsenyani ambae mwezi mmoja kabla kumaliza ligi alikua anaongoza kwa points 8 mbele kwenye msimamo wa ligi. View attachment 2643367View attachment 2643368View attachment 2643369
Hushangai ligi inaanza manjesta mkadai title contender ,kufikia February Pumzi ikakata


Ila unashangaa Arsenal mliyesema hata top 4 haingii ,lakini kamaliza 2nd place na points 84 ambazo manjesta toka aondoke Ferguson hamjawahi kuzifikia na hakuna dalili ya kuzifikia
 
Kuna ndoto inanisumbua inaniambia kesho Kuna 5-0 ,nyingine 7-0

Nyingine 4-0

 
Pep Guardiola with €200m budget aliingia kupigania ubingwa

Klopp with €180m budget aliingia kupigania ubingwa


Arteta with €150m budget ameingia kupigania ubingwa


7 hag with €250m budget anapambania Hadi dakika za mwisho kubaki top 4


Ili 7 hag apiganie ubingwa Basi apewe €600m
IMG_20230531_135815.jpg
 
The performance of Manchester United in the presence and absence of Lindelof in the starting line-up

In the presence of Lindelof:
14 games
10 wins
3 losses
1 equal
️ average of 1.79 goals scored per game
Average 0.79 goals scored per game


In Lindelof's absence:
24 games
13 wins
6 losses
5 equals
️ scored an average of 1.38 goals
Average 1.33 goals scored


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230602_124805_763.jpg
 
Rasmus Højlund: "Now that you ask, I will not hide the fact that I am a huge Manchester United fan. So personally, it would be one of the biggest things for me.

Rasmus Hoyland: Now that you ask, I have to say that I am a die-hard Manchester United fan. Personally, joining Manchester United will be one of the biggest events of my life.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230602_124623_395.jpg
 
Fabrizio Romano;

Mason Mont wants to join Manchester United. Personal provisions have not been a problem. Negotiations are not at an advanced stage. Chelsea wants at least 80 million euros for him.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 

Attachments

  • IMG_20230602_124600_820.jpg
    IMG_20230602_124600_820.jpg
    44.4 KB · Views: 10
#ETH
#Wallpaper

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
View attachment 2643428
 
Mason mount kwa €80m

Chelsea utapeli mmeanza lini ndugu zangu??
 
Eti manjesta Wanataka top CF sokoni

Believe me ataletwa VICENT ABOUBAKARI

IMG_20230601_202810.jpg
 
Roy Keane:

"Sioni mount akitoboa manjesta,Kama mount alishindwa kuingia kwenye kikos Dhaifu Cha Chelsea ,€80m utakuwa utapeli wa kutisha kuliko ule wa Anthony kwa €100 "

Akiongea kwenye kipindi Cha Monday football
 
SIMBA wameajiri jamaa mmoja tapeli ni muholanzi Kama skauti

Kabla hajatambulishwa Rasmi ndiye aliyemleta Sawadogo pale Simba kwa signing fee ya 130millions


7 Hag Ni muholanzi ,ndiye aliyeidhinisha Sajiri za Malacia , Anthony kwa €100m


Ninachojiuliza kwanini Waholanzi wamekuwa Matapeli kiasi hiki ?

January unaambiwa 7 hag alikuwa na option 2 za CF , ambao ni Vicent ABOUBAKARI na Veut Weghost

UTAPELI HAUTAISHA KAMWE
IMG_20230601_202810.jpg
 
Anthoy halisi Vs Anthony tunayeaminishwa eti Ni PotentialView attachment 2643412
We jamaa kuwa mature basi, mbona unakuwa kero! Umeanza kushabikia mpira lini? Yaani unavitabia vya kishamba sijui ni mtu wa wapi, pamoja na kwamba humu upo na ID fake na hatukufahamu ila kwa hizi comment zako inaonesha ni mtu mwenye kaushamba na kaulimbukeni fulani hivi, jaribu kubehave mkuu pengine wewe ni baba wa familia na huwa unadai heshima kutoka kwa wanao na mkeo, halafu huku jukwaani umeshindwa kuwa na heshima na ustaarabu kwa wenzako.
 
We jamaa kuwa mature basi, mbona unakuwa kero! Umeanza kushabikia mpira lini? Yaani unavitabia vya kishamba sijui ni mtu wa wapi, pamoja na kwamba humu upo na ID fake na hatukufahamu ila kwa hizi comment zako inaonesha ni mtu mwenye kaushamba na kaulimbukeni fulani hivi, jaribu kubehave mkuu pengine wewe ni baba wa familia na huwa unadai heshima kutoka kwa wanao na mkeo, halafu huku jukwaani umeshindwa kuwa heshima na ustaarabu kwa wenzako.
Uyo ni wakupotezea tu ana uchungu wa kukosa ubingwa Kwaiyo hapa ndo anaponyesha majeraha yake wewe mtu ameongoza ligi siku 200 anakuja kuachia mwishoni sio lazima apagawe uyo.
 
Back
Top Bottom