Hata kwake hajaenda kaamka na sisi tena😆TAITO KUNITENDA YUKO HUKU LEO [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa kuwa mature basi, mbona unakuwa kero! Umeanza kushabikia mpira lini? Yaani unavitabia vya kishamba sijui ni mtu wa wapi, pamoja na kwamba humu upo na ID fake na hatukufahamu ila kwa hizi comment zako inaonesha ni mtu mwenye kaushamba na kaulimbukeni fulani hivi, jaribu kubehave mkuu pengine wewe ni baba wa familia na huwa unadai heshima kutoka kwa wanao na mkeo, halafu huku jukwaani umeshindwa kuwa na heshima na ustaarabu kwa wenzako.Anthoy halisi Vs Anthony tunayeaminishwa eti Ni PotentialView attachment 2643412
Uyo ni wakupotezea tu ana uchungu wa kukosa ubingwa Kwaiyo hapa ndo anaponyesha majeraha yake wewe mtu ameongoza ligi siku 200 anakuja kuachia mwishoni sio lazima apagawe uyo.We jamaa kuwa mature basi, mbona unakuwa kero! Umeanza kushabikia mpira lini? Yaani unavitabia vya kishamba sijui ni mtu wa wapi, pamoja na kwamba humu upo na ID fake na hatukufahamu ila kwa hizi comment zako inaonesha ni mtu mwenye kaushamba na kaulimbukeni fulani hivi, jaribu kubehave mkuu pengine wewe ni baba wa familia na huwa unadai heshima kutoka kwa wanao na mkeo, halafu huku jukwaani umeshindwa kuwa heshima na ustaarabu kwa wenzako.
Anavijitabia vya ajabu sana huyu bwana mtu unafungua page ili usome tetesi za usajili na za mmiliki mpya unakutana na comment nyingi za ajabu ajabu za mtu aliyevamia page.Uyo ni wakupotezea tu ana uchungu wa kukosa ubingwa Kwaiyo hapa ndo anaponyesha majeraha yake wewe mtu ameongoza ligi siku 200 anakuja kuachia mwishoni sio lazima apagawe uyo.