Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ander Herrera: β€œI will watch it [FA Cup Final] for sure and I will watch it with a United shirt for sure.”

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230602_001309_347.jpg
 
Hofu ya wachambuz nguli Kama sisi na kina Roy Keane tunajiuliza maswali haya

1: Mason mount Kama alishindwa kuingia first eleven kwenye timu Dhaifu iliyokuwa shimoni ,je ataisaidia Manjesta?


2: 7 hag hawez kucheza kwa ku dominate na ku control mechi ,je kumleta mount atamtumia wapi au ndio kutafutiana lawama


3: Mount anaonekana Ni profile ya kucheza double 8/10 kwenye mfumo wa 4-3-3 akishambulia half spaces, Je manjesta ya 7 hag ina wachezaji wa hivo? Tukumbuke Degea yupo, dalot kapewa mkataba mpya , Casemiro ambaye sio profile ya Viungo wa 4-3-3 ya double 8/10 yupo


4: Mount kwa Β£80m Ni muendelezo wa utapeli Kama ule wa Anthonykwa €100m , Sancho €85m ,magwaya €85m ....
Haya mambo yako haya ya "rebuild" cjui "half ya pili ya mpinzani" cjui nini nini ndiyo huwa yanakuponza mpaka unakimbia jukwaa lako
 
Pep anamchukua kovacic ila kwa bei ya madafu kabsa ila sisi tungepigwa hata Β£ 90+

Madrid wanamnyatia Kai havertz kwa bei elekezi kabsa

Ben10 aachane na wachezaji wa EPL azame chimbo uko bundasliga,Ligue 1,Serie A kuna vyuma vya uhakika haswaa

Nasema uongo ndugu zangu
Kweli kabisa.
 
Manjesta mseme kabisa nyie mtaanza ligi Kama Title contender au title pretender?
 
Tatizo la manjesta sio Graza family

Joel Graza eti analaumiwa kwa sajili hizi za kina Sawadogo
IMG_20230601_202810.jpg
 
Manjesta kwa mpira wenu wa janja janja ule


Kesho mnaweza kupigwa Goli 5 Hadi 7 kwa sufuri
 
7 hag aambiwe ukweli ,mpira wa janja janja una expire date , asitegemee Tena form ya Rashford na harakati za Degea kumfichia ujinga wake


Aambiwe ukweli
 
Mimi sio mjukuu wa Nabii ila haya yatatokea

1: Mashabiki wa manjesta wataandamana kumpinga Graza kwa sajili za kitapeli za 7 hag

2: 7 hag atakutana na vipigo mfululizo
 
SAJILI ZA KITAPELI


WEGHOST

0 Goals

1 Assist (yakujigonga gonga)
 
SAJILI ZA KITAPELI



JINA :SANCHO

ALINUNULIWA €85M

GOALS: 6

MECHI :50
 
SAJILI ZA KITAPELI

JINA: ANTHONY SANTOS

ALINUNULIWA KWA €100M

GOALS :4

MECHI 30+
 
SAJILI ZA KITAPELI

JINA:HARRY MAGWAYA

ALINUNULIWA KWA Β£85M(~€90M)

OWN GOALS :15

ERRORS LEADING TO GOALS:120
 
Bukayo Ayoyinka Saka ameenda Nigeria kwa mtaalamu wake wa tiba asili msimu ujao mkileta matapeli wenu kwa ground kuwalaumu ni lazima tu
IMG_20230602_111342.jpg
 
Naam

nimerudi rasmi kutema madini

Jadon SANCHO msimu huu
Matches 29
Goals 3
Asists 3

Hizi takwimu zinakuwaga za mabeki tu sio winger

Itoshe kusema ni moja wapo ya Sajili Za Kitapeli kuwahi kutokea EPL

hii dunia haitakwisha utapeli

nakwenda zangu


NB: Pichani Ni manjesta ya Tz Katika kombe la Abiola cup 1993
IMG_20230531_150605.jpg
 
NAAM

Katika pitapita zangu kutafuta . Sajili Za Kitapeli . Nikadandia mukweche wangu hadi Mbugani Serengeti nikakutana na huyu mtu

Odion jude ighalo Ekei silent Venom

Alizitafuna kimya kimya kisha akasepa ghafla

Sikuwai kufikiria hadi wachina wanaweza kua matapeli kiasi hiki nilijua ni wataaalamu wakomufu kumbe nao ni wakali wahizi kazi

Hii dunia haitakwisha utapeli

Nakwenda zangu
FB_IMG_1685695302313.jpg
 
Back
Top Bottom