Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila kushabikia mpira rahaa sana, ujakaa sawa mchezaji anafanya tukio linakucha mshangao...unadhani kocha kaona tukio, kabla ya muda unashangaa kocha nae anafanya tukio la kushangaza.

Unabaki kujiuliza au mimi ndo naangalia mpira tofauti? Ushabiki wa mpira Inarahaa yake kama hauna matokeo mfukoni.
 
"Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta"

Hili sikubaliani kabisa na wewe, mechi nyingi tu hua zinapatikana nafasi kibao za kufunga lakini pale mbele anakosekana mtu ambae ni fundi wa kucheka na nyavu.
Hata takwimu za viungo pale England zinaonyesha Bruno ni miongoni mwa viungo waliotengeneza nafasi nyingi za mabao.
 
"Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta"

Hili sikubaliani kabisa na wewe, mechi nyingi tu hua zinapatikana nafasi kibao za kufunga lakini pale mbele anakosekana mtu ambae ni fundi wa nyavu.
Mbona umesema kitu kile kile nilichokisema mkuu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…