Kuna mtu anaweza kuchambua kwanini team yetu inakuwa kama ina homa za kipindi?
Kuna muda ilikaa poa tukamfunga hadi Barca sikuhz naona tia maji tia maji tu.
Sahv nina acha kuangalia game za Man za usku siwez kupoteza mara 2 usingizi na furaha bora nipoteze kimoja wapo.