Ndio maana naamini mwanadamu aina ya Pep angeamua kuondoka..Hili litimu limejifia from top to bottom. Wao ni bendera fuata upepo na kusajili wachezaji kwa lengo la kibiashara zaidi.
Hivi mchezaji kama Sancho kwanini analipwa £350k?
De Gea kwanini anabaki? Ili alipwe £250k, kwa kazi ipi anayofanya?
BrightonUkiwaangalia BHA wanavyocheza halafu uambiwe umri wao pamoja na thamani yao kama timu,huwa unashangaa scouting ya man utd huwa inafanyia kazi nchi gani.
Timu kama Madrid ipo juu kwenye soka Ulaya na Duniani kwa kufanya kazi bila kuangaliana usoni.Utd imeanguka sana..
Sawa Liverpool walianguka pia
Arsenal walianguka pia..
Ila hawakuwahi kuwekeza kama Manchester United..
Timu bado ipo na Jones..then inataka ubingwa?
Huo ujomba ujomba tutasubiri sana..
Real Madrid kwangu mimi ndio timu pekee inayoweza sajili jina na likazaa matunda..Timu kama Madrid ipo juu kwenye soka Ulaya na Duniani kwa kufanya kazi bila kuangaliana usoni.
Unalipwa ufanye kazi ya watu kama kazi nyingine tu na siyo mchezo.
Hilo limewasaidia Madrid wachezaji wao wakongwe kuishi ktk misingi hiyo hata hawa madogo wakienda wanakuta ni kazikazi.
United alipoondoka SAF aliondoka na nguvu na ushawishi wake, kizazi cha wakina Rashford na Lingard kikakutana na mhuni kama Rooney (heshima kwake legend).
Sasa hivi timu imejaa mabishoo tu. Sancho, Rashford, Garnacho, Antony. Wakija madogo wengine nao wanakuta Carrington ni sehemu ya kula bata tu.
Ni bahati tu wote Chelsea, Tottenham, na Liverpool wapo vibaya..Timu kama Madrid ipo juu kwenye soka Ulaya na Duniani kwa kufanya kazi bila kuangaliana usoni.
Unalipwa ufanye kazi ya watu kama kazi nyingine tu na siyo mchezo.
Hilo limewasaidia Madrid wachezaji wao wakongwe kuishi ktk misingi hiyo hata hawa madogo wakienda wanakuta ni kazikazi.
United alipoondoka SAF aliondoka na nguvu na ushawishi wake, kizazi cha wakina Rashford na Lingard kikakutana na mhuni kama Rooney (heshima kwake legend).
Sasa hivi timu imejaa mabishoo tu. Sancho, Rashford, Garnacho, Antony. Wakija madogo wengine nao wanakuta Carrington ni sehemu ya kula bata tu.
Ole aliwadokeza United kuhusu kumsajili Haaland kipindi bado yupo Molde, akampeleka Bellingham mpaka Carrington ktk harakati za kumsajili, akamtaka Caicedo, Camavinga, Alvarez.ETH anaweza vizur sana kama akipata nguvu ya wamiliki Pep mwenyewe hatoboi na wakina Martial mpe heshima ETH
Chaguo la kwanza kabla hajaja lilikuwa Frenkie De Jong ma boss wa wa hii timu waliishia kupiga soga tu sajili zilizokamilika zilikuwa zimebak siku mbili au moja dirisha kufungwa ina maana pre season kocha hakupata machaguo yake mfumo ushaanguka hapo
Pep msimu wa kwanza alipigania top 4 tena city imetimia haswaa kuna David silva, Kdb,Kun Aguero ,Yaya Toure , Raheem Sterling ,Kompany & Fernandinho tena hao ni top player ambao united hamna hata mmoja mwenye uwezo huo kwa kipind kile hivyo bas kapata nguvu ya wamiliki yupo pale
Mwez wa kwanza aliomba striker wakat Martial kaumia hakupata ikabidi kocha aangalie option nyingine ya mkopo wa Wout Weghorst
Eriksen anaumia wanampa mkopo wa Marcel Sabitzer timu gani iliyo serious na mashindano wanafanya huo upuuzi? Manchestet united inang'ang'ana na mikopo tena iliyojifia
Mwezi wa kwanza kulitakiwa kununuliwa striker kisha mwez wa 6 anaongezwa mshambuliaji mwingine sasa mwez wa 6 anaweza kununuliwa mshambuliaji mmoja tu akiumia timu inarudi kwa sancho,rashfotd na martial + antony kocha gan anatoboa?
Pep anamuachia Jesus anamchukua halland
Manchester united wanamuachia Ronaldo wanamchukua Wout Weghorst
Huyo Pep anatoboa? [emoji23][emoji23]
Kinachotokea sasa ndio makocha wote wazur walikipata chini ya wamiliki wa hii timu
Mourinho alilalamika sana kuhusu usajili kuna watu humu walimponda sana mourinho ila alikuwa sahihi leo tunaona kwa Martial kinachotokea
Wao wanaangalia nani anauza jez sio nani anapiga kazi
Solskjaer alitaka kumsajili Moises Caicedo kwa £4.5 Mwez 12 mwaka 2020 waligoma wakasema hela ni nyingi sasa uliza bei yake na hii kutokana na kutokuwa na jina kipind kile biashara isingeenda kwenye jez
Mpe heshim ETH hata Pep hatoboi chini ya uongozi wa hii timu.
[emoji23]akifika 30 yrs tutamleta..Dogo huyoo anaenda zake Santiago Bernabeu kujiunga na Camaving. [emoji23]
View attachment 2612415
Kwa €70m kama Casemiro. 😂[emoji23]akifika 30 yrs tutamleta..
Ndio..Kwa €70m kama Casemiro. [emoji23]
Real Madrid kwangu mimi ndio timu pekee inayoweza sajili jina na likazaa matunda..
Mchezaji kama Pogba Pale Madrid wala asingekuwa anaongea shit..
Ibebe timu, ikubebe..
Imagine waliachana na Ronaldo ambaye bado alibeba kiatu Serie A..
Sancho tumefukuzia miaka miwili..
Anthony tumelipa €100
Then eti anacheza show off..
Nakumbuka Man City Vs nimesahau,,
Walikuwa wakiongoza magoli mengi sana, ikapatikana penalty..
Ederson akataka kwenda kuipiga ili nae aingie kwenye vitabu vya wafungaji..
Pep alikataa huo ushenzi..
Nidhamu kwa na heshima kwa mpinzani iwepo haijalishi unaongoza ngapi wala ni dakika ya ngapi..
[emoji23] mentality za kibingwa..View attachment 2612441
Kocha wako Pep huyo. [emoji23] Huyu jamaa ana mentality ya ushindi, kaongea kitu kikubwa sana. Unaona nafasi waliyopata Gundo kaipoteza na mechi ikaisha 2-1 ni kwasababu tu City wapo vizuri defensively.
Sasa rejea mechi ya United na Sevilla wakati tunaongoza 2-0 wachezaji wakawa hawatumii nafasi vizuri kwa uchoyo na ubinafsi matokeo yake dk ya 80 watu wanajua mechi imeisha, mpira unaisha 2-2.
De Gea amechangia kutufungisha mechi nyingi sana.
Ni kukosa wachezaji sahihi timu nzima wachezaji hawawezi kupiga pass complete hata tatu tu.Wakati 10Hag anawasili alikuwa anasisitiza kumiliki mchezo kuliko mpinzani,lakini cha ajabu karibu game zote hasa kipindi cha pili wapinzani wamekuwa wakimiliki wao mchezo na sisi tumekuwa wahangaikaji tu. Hii inaashiria kwamba bado mwalimu hajafikia pale anapotaka timu iwe labda kwa kukosa wachezaji sahihi au mbinu zake hazijakaa vizuri kwenye mafuvu ya wachezaji waliopo.
Bado nina imani na huyu kipara wetu.
Ukiangalia kwa umakini hizo clips za mechi mbili tofauti utagundua kila mechi alipiga takribani goal kick 10 au zaidi zisizofikia walengwa.De Gea amechangia kutufungisha mechi nyingi sana.
Mechi iliyoniumiza sana msimu huu ni mechi ya Tottenham huwezi kucheza vile katika Premier League.
Kuna makosa mengi sana yanayotokana kubutua mpira hovyo muda wote tunakuwa hatuna mpira kwa sababu ya upuuzi wake.