Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu jasusi anamtoa WB anamuingiza Malacia, halafu unamtoa Anthony unamuingiza Martial.
Maaaammae wacha tupigwe tu.
Huyu Kipara Sub zake hua zinaniacha hoi sana halafu kila siku anarudia upuuzi huohuo yaani hata hajifunzi.
Amezidiwa mbali sana na Nabi kwenye upande wa sub, mara nyingi anapuyanga tu.
 
GOAL! Man Utd (43")

️: Rashford
: Fernandes
Your browser is not able to display this video.
 
Goli la pili De Gea katufanyia uhuni, huwezi kubutua vile na timu iko disorganized namna halafu unabutua mpira kwenda direct kwa opponent dah.
Yule bwana naye anaturudisha nyuma sana, huenda ndiye mchezaji anayeongoza kwa kupoteza mipira, juzi umemuangalia ederson anavyolaumiwa kwa simple mistakes licha ya kwamba timu yake imefunga goli, kama mchezaji haendani na huo mpira wako tafuta mwengine
 
Msimu uishe tu sasa. Kila mechi lazima uwe na wasiwasi, hakuna mechi utaangalia kwa ku-relax na ku-enjoy football.
Mechi yote unainjoy kwa dakika 20 tu halafu dakika 70 zote ni za kubana pumbuh.
Hizi mechi za usiku ni bora ulale tu asubuhi ukutane na matokeo maana hizi presha tunazopitia mpaka usingizi wenyewe unakata usiku kucha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…