Huyu jasusi anamtoa WB anamuingiza Malacia, halafu unamtoa Anthony unamuingiza Martial.
Maaaammae wacha tupigwe tu.
Huyu Kipara Sub zake hua zinaniacha hoi sana halafu kila siku anarudia upuuzi huohuo yaani hata hajifunzi.
Leo kumlaumu De Gea ni kumuonea bure, wakulaumiwa ni Jasusi na Sub zake za kipumbavu.
Tena tushukuru leo Spurs hawakua na bahati tu la sivyo tulikua tunagongwa goli zisizopungua 5.
Leo kumlaumu De Gea ni kumuonea bure, wakulaumiwa ni Jasusi na Sub zake za kipumbavu.
Tena tushukuru leo Spurs hawakua na bahati tu la sivyo tulikua tunagongwa goli zisizopungua 5.
Yule bwana naye anaturudisha nyuma sana, huenda ndiye mchezaji anayeongoza kwa kupoteza mipira, juzi umemuangalia ederson anavyolaumiwa kwa simple mistakes licha ya kwamba timu yake imefunga goli, kama mchezaji haendani na huo mpira wako tafuta mwengine
Mechi yote unainjoy kwa dakika 20 tu halafu dakika 70 zote ni za kubana pumbuh.
Hizi mechi za usiku ni bora ulale tu asubuhi ukutane na matokeo maana hizi presha tunazopitia mpaka usingizi wenyewe unakata usiku kucha.