Mungu na awe upande wetu leo. Hii mechi tukitolewa itaniuma sana kushinda mechi ya 7 - 0. Tumefika hatua ambayo sisi ndiyo favourites wa kubeba UEL. Sevilla wameshatuonea sana kwenye UCL & UEL leo ndiyo siku ya kulipa kisasi na kuwaonjesha dawa yao wenyewe.
SIKU NILIPOGUNDUA MANJESTA HAWANA KOCHA ILA WANA MBABAISHAJI
Kocha wa Manchester United Erik ten Hag alimlinganisha Antony na gwiji wa Uholanzi Arjen Robben baada ya bao lake na Assist dhidi ya Nottingham Forest siku ya Jumapili.
"Namuona kama Robben, kwa mfano, Arjen Robben mara nyingi na kila mara walisema ana chenga moja tu kwenda pembeni na kuingia ndani, lakini katika chenga hiyo moja alikuwa na kipaji sana. Hakuna aliyeweza kumzuia.