Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole Guna ana uwezo mkubwa kimbinu kuliko 3+7 hag


Wachache wanaelewa hili
 
Msimu ujao mtachezea vipigo Kama anavyopitia Chelsea

Kufika December mtamtimua
 
 
Mechi hizi zilizobaki 7hag hawezi kutoboa

Vs Spurs , mtapigwa 3-0

Vs Chelsea ,mtapigwa 2-0

Vs Brighton mtalambwa 4-0

Vs astonvilla mtakandwa 3-0
 
7 hag anatengeneza Project


Casemiro miaka 31

Eriksen miaka 32

Anthony kupigwa kwa €100m

Degea kuongezewa mkataba mrefu

Malacia Average player

PROJECT UCHWARA HII
 
7 hag anatengeneza Project


Casemiro miaka 31

Eriksen miaka 32

Anthony kupigwa kwa €100m

Degea kuongezewa mkataba mrefu

Malacia Average player

PROJECT UCHWARA HII
Hahahah! Ulikuwa unasubiri United tufungwe ndo urudi.
 
SIKU NILIPOGUNDUA MANJESTA HAWANA KOCHA ILA WANA MBABAISHAJI

Kocha wa Manchester United Erik ten Hag alimlinganisha Antony na gwiji wa Uholanzi Arjen Robben baada ya bao lake na Assist dhidi ya Nottingham Forest siku ya Jumapili.

"Namuona kama Robben, kwa mfano, Arjen Robben mara nyingi na kila mara walisema ana chenga moja tu kwenda pembeni na kuingia ndani, lakini katika chenga hiyo moja alikuwa na kipaji sana. Hakuna aliyeweza kumzuia.
 
Binafsi kwa kikosi chetu sioni matumaini kabisa 10hag asipofanya usajili wa maana na kuuza takataka zake hizo tutabaki hivi hivi.
Kocha UWEZO mdogo

June alifanya usajili kabambe kwa kutumia €250m

Anthony €100m

Casemiro €70m

Mnataka Sajili gani


7 hag uwezo wake Ni mdogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…