Sijawahi kumpenda
wan bissaka na tokea siku ya kwanza kusajiliwa kwake nilikuwa wa kwanza kupinga usajili wake humu ndani.
Hata hivyo naiona dalili ya kwenda kufanya kosa kubwa sana la kimaamuzi kwa klabu,
- ni kosa kumpa mkataba mpya dalot diogo na kumuuza wan bissaka
- Diogo dalot hana sifa ya kupewa mkataba mpya
- Ni sahihi kuwauza wote wawili na kutafuta fullback mwengine
- Pia ni sahihi kutafuta fullback mwengine na wakati huo huo tukambakisha wan bissaka.
Muda ndiye mwalimu mzuri wa maamuzi na mawazo