Wewe unaona timu Moja tu ,ila wachambuzi nguli tunachambua timu zoteUnafanya uchambuzi gani wewe mpuuzi? Uchambuzi wa kuiponda timu Moja tu? Peleka huko takataka zako
Nikikuita taahira nakosea wapi eti ng'ombe kama hii inajiita mchambuzi labda unachambua funza za kichwani mwako7 hag kocha wa kawaida Sana
Simuon akimaliza msimu ujao kabla hajafungashiwa virago
Pale Ajax hata Jamhuri kiwelo anabeba Erevedise ,Ni sawa na Scotland tu ,Brendan Rodger alikuwa had unbeaten
7 hag pamoja na kukuta manjesta na wachezaji wazuri na bajet kubwa akaongezewa bado janja janja kibao
Usimfananishe na Arteta ambaye ndan ya miezi 6 alibeba FA cup mbele ya Mancity ,Chelsea na Liverpool waliokuwa Moto bila Bajeti yoyote
7 hag narudia Ni kocha wakawaida Sana ,ndio maana hata usajili tu unakuonesha Ni kocha wa aina gani
Ulishajiuliza kocha aliyekaa na mchezaji Ajax (means anamjua vzr) ,bado kamleta manjesta kwa €100m ,hapo tu unapaswa ujue Huyo kocha Ni level za kina David moyesView attachment 2589582
Mimi nategemea unijibu kwa data ,Takwimu ,maelezo ya kina ,Cha ajabu unalalamika ,unatukana ,Nikikuita taahira nakosea wapi eti ng'ombe kama hii inajiita mchambuzi labda unachambua funza za kichwani mwako
Katika mechi 50 Arteta akiwa Arsenal.7 hag kocha wa kawaida Sana
Simuon akimaliza msimu ujao kabla hajafungashiwa virago
Pale Ajax hata Jamhuri kiwelo anabeba Erevedise ,Ni sawa na Scotland tu ,Brendan Rodger alikuwa had unbeaten
7 hag pamoja na kukuta manjesta na wachezaji wazuri na bajet kubwa akaongezewa bado janja janja kibao
Usimfananishe na Arteta ambaye ndan ya miezi 6 alibeba FA cup mbele ya Mancity ,Chelsea na Liverpool waliokuwa Moto bila Bajeti yoyote
7 hag narudia Ni kocha wakawaida Sana ,ndio maana hata usajili tu unakuonesha Ni kocha wa aina gani
Ulishajiuliza kocha aliyekaa na mchezaji Ajax (means anamjua vzr) ,bado kamleta manjesta kwa €100m ,hapo tu unapaswa ujue Huyo kocha Ni level za kina David moyesView attachment 2589582
Ona mbwa huyu hii post inahusu Chelsea na Brighton harafu hii mbwa inamu include Ten Hag huu uchafu utakuwa unaliwa huu sio bureBrighton 70% Possession Chelsea 30%
Brighton 19 shots to Chelsea 3
Brighton 437 passes, Chelsea 217
HALAFU MTU MMOJA ANAKWAMBIA 7HAG BONGE LA KOCHA
7 hag karith kikos kizuri na bajeti €250mKatika mechi 50 Arteta akiwa Arsenal.
Games: 50
Won: 21
Drawn: 12
Lost: 17
Mimi siwezi kuendelea kubishana na wewe, uko obsessed na United. EtH anafanya zaidi ya alichofanya Arteta ktk msimu wake wa kwanza.
View attachment 2589594
Idiot7 hag karith kikos kizuri na bajeti €250m
Hizo mechi 50 ndani kacheza na kina chalton , Reading, Forest Mara 3, plus mechi kibao za Cups
Arteta karith kikos kibovu huku Saka akiwa beki ,leo Ni among RW duniani with €OM bajeti
7 hag huyu huyu aliyepewa €250mOna mbwa huyu hii post inahusu Chelsea na Brighton harafu hii mbwa inamu include Ten Hag huu uchafu utakuwa unaliwa huu sio bure
Mpira unadunda ila bado sijaona Manjesta ya kuwafunga wakata kuni Nottingham forestIdiot
Hamis sometimes kwenye mpira unakuwa mjinga sana Mpaka computer Arsenal anakujua wewe kwenye mpira uwaga akili zako unaweka pembeni.Mpira unadunda ila bado sijaona Manjesta ya kuwafunga wakata kuni Nottingham forest
Mjinga pekee ndio ataamini Maguire na Malacia wanaweza kuwazuia striker machachari kama LingardView attachment 2589640
Computer Arsenal si alihamia psg ,toka lini akawa ArsenalHamis sometimes kwenye mpira unakuwa mjinga sana Mpaka computer Arsenal anakujua wewe kwenye mpira uwaga akili zako unaweka pembeni.
Nachojiuliza mbona Chelsea wametumia hela kuliko sisi lakini uwezi kuta hata mara moja unawazungumzia?
Chelsea ligi inaanza Tajiri anafanya sajili yeye ,anazamia dili za watu ,Hamis sometimes kwenye mpira unakuwa mjinga sana Mpaka computer Arsenal anakujua wewe kwenye mpira uwaga akili zako unaweka pembeni.
Nachojiuliza mbona Chelsea wametumia hela kuliko sisi lakini uwezi kuta hata mara moja unawazungumzia?
Nyie mkishinda si mnatuma had msimamo wa ligi jukwaa la Arsenalnyie Arsenal si timu Bora,.... Msitupigie kelele bure.. mbebe ubingwa wa EPL mtuoneshe mfano.
Lord Phil Jones is back 🔥🔥🔥Kwa hii Combination ,Top 4 uhakikaView attachment 2588493