Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.NYIE MANJESTA TUNAPOSEMA 7 HAG MBABAISHAJI TUNA MAANA KUBWA
Wiki ijayo mna Brighton angalien msidhalilishwe tu
Hakuna timu duniani kwa Sasa inafanya buildup Bora kuanzia kwa GK Hadi katikati Kama Brighton ,
Brighton had 67.95% possession in the opening 45 minutes against Chelsea, the most by an away team in the first half of ANY Premier League game this season.
Pep was right.
Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.
Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).
United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.
EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.
Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.
Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujiulizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?