Kocha ndo anazingua kuhusu ishu ya ubinafsi hata Rashidi ni mbinafsi tena sana kinachombeba ni yale magoli yake
Sema all in all Anthony ni winga wa kawaida bora hata tungemchukua Moussa Diaby wa Leverkusen
Kocha ndo anazingua kuhusu ishu ya ubinafsi hata Rashidi ni mbinafsi tena sana kinachombeba ni yale magoli yake
Sema all in all Anthony ni winga wa kawaida bora hata tungemchukua Moussa Diaby wa Leverkusen
Kwangu wanatofautiana kidogo Sana na Ole Guna sosha
7hag kimbinu hamuwezi Di zerbi, Ni vile Di zerbi Hana wachezaji wa Bei mbaya, imagine anamtegemea kinda Ferguson na welbek Kama CF, lakini ana GD kuliko timu yenye Anthony na Sancho combined €180m
️
Pep Guardiola:
"The best team at making the build-up in the world is Brighton! There is no team better that make the process to get the goalkeeper to bring the ball into to the last quarter."