Nyie mlikuwa mnabebwa na marefa na SAF kupigapiga simu FA,mwaka huu ndo tutajua ukweli.........
Naona Alichoongea Anderson kinaanza kutokea sasa....
Washaanza kugawana mbao kwenye Jahazi linalozama.......
After Vidic Nani Atafuata??
Naona Alichoongea Anderson kinaanza kutokea sasa....
Washaanza kugawana mbao kwenye Jahazi linalozama.......
After Vidic Nani Atafuata??
Hiyo habari Ando kaikanusha, hasa juu ya wachezaji kutaka kuondoka. Ila ni kweli yeye anataka kubakia Firenze.
Naona Alichoongea Anderson kinaanza kutokea sasa....
Washaanza kugawana mbao kwenye Jahazi linalozama.......
After Vidic Nani Atafuata??
Revealing: Dermot Gallgher (top) claims Ferguson (bottom) asked him to call a game off as a favour
'It was chucking it down with rain and Fergie pulled me aside and said do me a favour, call the game off," Gallagher told Sportlobster TV. 'I asked why and he said theres nowhere else to fit this game in and the Premier League will have to extend the season. Well have a better chance of winning the match and well win the league at Old Trafford.
'At half time United were losing 3-1 and the pitch was like a swimming pool. As we came off he said I know were 3-1 down but please call it off, we could do with a hand here. 'They managed to pull it back to 3-3 and in the last minute Dennis Irwin ran into the box and went down in front of the Stretford End and I only gave a goal kick. 'At full-time Fergie sprinted across the pitch and shouted at me furiously. My wife said, Fergie had a right go at you about that penalty didnt he.
Call it off? Ferguson wanted the game to be postponed while United were 3-1 down against Boro in 1997
One up: Juninho (left) puts Middlesbrough in the lead but the North East side were unable to win
'I told her he hadnt mentioned the penalty. She asked why he came tearing across the pitch at me then. The truth is he ran over and asked me if I was going out to dinner that night. I said no and he asked why are we leaving so early then?.'
Indeed, Ferguson's ability to squeeze every last second out of officials when his side were losing has since been highlighted. With United trailing at Old Trafford under their former boss, an average of 79 seconds extra was played in added time.
Retired: But Gallagher has lifted the lid on Ferguson's hairdryer
Fury: Ferguson blasts Mike Dean during a clash with Newcastle on Boxing Day last season
Naona Alichoongea Anderson kinaanza kutokea sasa....
Washaanza kugawana mbao kwenye Jahazi linalozama.......
After Vidic Nani Atafuata??
Ni kweli kuwa kuna wachezaji wengi lazima wataondoka,kumbuka tunaanza era mpya na tunahitaji wachezaji wapya wenye motivation na timu.Giggs,Rio,Nani,Carick,Fletcher,Evra wote wako United si chini ya miaka 7 na wameshinda almost kila kitu OT.Kwa sasa wengi viwango vimeshuka,umri mkubwa na kusumbuliwa na majeruhi so ni wakati wa kupisha wengine still kuna vijana kama De Gea,Rafael,Jones,Evans,Mata,Januzaj na kusajili wachezaji wengine
Nilitegemea Moyes atafanya reshufle kubwa na tayari imeanza Anderson,Rio,Giggs na Vidic tayari hawatakuwepo msimu ujao.Still tutaendelea kuwakumbuka kwa mchango wao mkubwa waliotuletea hasa
View attachment 137912
....:#CaptainVidic keshatangaza nia....
.....#VanPersie na #Rooney 
Hii season imekwisha na nibora kusubiri mwakani
Vida anaondoka kwa mutual consent na kocha.....Vida ameshinda kila kombe kubwa katika ngazi ya klabu..acha aende Inter akamalizie soka lake
Ni dhahiri kwamba DM anataka kujenga timu yake.....na ameanza kwa kumshawishi Rooney abaki, kisha kumnunua Fellaini na Mata....kisha hilo la Vida ndilo limefuata, huku kama alivyosema Belo hapo juu, akina Giggs, Evra, Rio nao watafuatia....DM anahitaji United mpya...nami namuunga mkono na miguu kwa hilo....
Rooney wala RvP hawawezi kuondoka United...kwa hela atakayopewa Rooney paundi laki 3, sidhani kama kuna klabu itakayowez kumlipa hivyo...vilevile kwa RvP kwa mpunga anaokula United (paundi laki 2 unusu nafikiri) na umri wake, kuna timu inaweza kumlipa hivyo kweli?
Wachezaji ambao wanaweza kuondoka, na wataniuma sana wakiondoka ni Chicharito, Kagawa na Nani. Hawa ni squad players, yaani ni wachezaji wenye umuhimu mno...hata waje akina Cavanni, Reus, Gundogan, Vidal, Koke, Herrera, squad players lazima wawepo.....
so bad kagawa,rafael,butner wote wanaweza wakaonfoka mwisho wa msimu huu its confirmed now moyes ameridhishwa na kiwango cha evans,smalling na de gea,so its very posible smalling na evans wapo kwenye mipango ya dm,chicharito amesema ataangalia hatma yake man u baada ya world cup,kwangu mimi tatizo sio rafael wala kagawa kuondoka bali tatizo ni kocha kuhakikisha tunawapata watu sahihi wenye uwezo zaidi yao na pia nitafurahi sana iwapo giggs,na ferdinand watatundika daluga kama inavyohisiwa na wengi. Ila pia kwa upande mwingine nahisi kocha amefanya haraka sana kumpa go ahead rafael ni msimu huu tu kiwango chake kimeshuka im sure next season atarudi kwenye ubora wake. Ila kocha ot ndo mwenye maamuzi ya mwisho lets wait and see timu yetu inavyoundwa.
Starting XI: De Gea, Rafael, Smalling, Vidic, Evra; Mata, Carrick, Fletcher, Young; Rooney, van Persie.
Subs: Lindegaard, Ferdinand, Giggs, Valencia, Kagawa, Januzaj, Hernandez.