Mechi ya leo inanikumbusha msimu wa 18/19 tulicheza mechi ya mapema na The Toffees tukiwa kwenye top 4 race hivihivi mechi ikaisha 4-0. Moja ya mechi de Gea alizingua sana.
Tukamaliza msimu kwa droo 2 na kichapo mechi 3 za mwisho.
Haya magoli tunayokosa duuh
Bado nashangaa sana kuna Mashabiki maandazi wanaponda uwepo wa ANTONY DOS SANTOS akiwemo Mwana F.A juzi kajipostisha TL kwamba kwa Antony tumepigwa..Lakini Antony anaubonda haswaaa
Haya magoli tunayokosa duuh
Bado nashangaa sana kuna Mashabiki maandazi wanaponda uwepo wa ANTONY DOS SANTOS akiwemo Mwana F.A juzi kajipostisha TL kwamba kwa Antony tumepigwa..Lakini Antony anaubonda haswaaa