Mbona nyie mnakujaga Uzi wa Arsenal mnabwata na kujiachia , Hadi matokeo yenu ,msimamo wa ligi mnapost kule
Mlipochukua kombe la Energy Drink mlishinda siku nzima mnapost
Au nyie ndio mna haki miliki ya kutusagula jukwaa la Arsenal ?
Mbona nyie mnakujaga Uzi wa Arsenal mnabwata na kujiachia , Hadi matokeo yenu ,msimamo wa ligi mnapost kule
Mlipochukua kombe la Energy Drink mlishinda siku nzima mnapost
Au nyie ndio mna haki miliki ya kutusagula jukwaa la Arsenal ?