Wewe ni mbwa in advance, huyo Bintiford wako leo lazima aukalie.Nyumbu mkimfunga Brentford leo mniite mbwa niko paleee[emoji117][emoji117][emoji117]
Angalia usije ukaukalia wewe😂Wewe ni mbwa in advance, huyo Bintiford wako leo lazima aukalie.
@hamis77 tulishakubaliana wewe ni mchambaji nguli sio mchambuzi nguli.
If I speak...Ol Trafford siku hizi ni mahala panapo heshimika sana
Brentford leo anakufa vzuri
Mkemia Trossard Ni Bora Kuliko Mudryk,GAKPO, Anthony,Sancho..!@hamis77 tulishakubaliana wewe ni mchambaji nguli sio mchambuzi nguli.
If I speak...View attachment 2577558
Liva yupo nafasi ya nane, uwezekano wa kuingia top four hana yeye pamoja na title contender manyuaTunaiombea Brentford ushindi ili UTD ipunguze spidi afu Liva aje kuingia top 4 na UTD na Spurs waende Europa league. Ikiwezekana UTD washuke hata zaidi
Kaachwa points 7 tu na Newcastle, Spurs na UTD. Kimahesabu inwezekana.Liva yupo nafasi ya nane, uwezekano wa kuingia top four hana yeye pamoja na title contender manyua
Nilishasema huyu kocha ni mjinga watu wakanitukanaa. Kile kikosi kilichotupa aibu kwa Newcastle ndio amelazimisha kianze hicho hicho..ni Whergost pekee kabadilishwa na Sancho.Betia man u hafu stake high.View attachment 2577717
Ulitaka acheze nani?Nilishasema huyu kocha ni mjinga watu wakanitukanaa. Kile kikosi kilichotupa aibu kwa Newcastle ndio amelazimisha kianze hicho hicho..ni Whergost pekee kabadilishwa na Sancho.
Huna kocha babaNilishasema huyu kocha ni mjinga watu wakanitukanaa. Kile kikosi kilichotupa aibu kwa Newcastle ndio amelazimisha kianze hicho hicho..ni Whergost pekee kabadilishwa na Sancho.