Another attacking right-back will come on the agenda if Wan-Bissaka is sold. Exploratory talks have been held about Benjamin Pavard, whose contract expires in 2024, while Ten Hag is a known admirer of Denzel Dumfries.
[@TheAthleticFC]
Daaah bro hutaki tushinde kisa Hamis77? Acha hizo Mzee si Lazima tuwapige madongo? Au tumkane Hamis Ili usituombee Dua mbaya? Huu ubingwa hatujaugusa miaka mingi sana aisee acha tuuonje japo kidogo
Hii ndiyo sababu kwanini sitaki kuona Arsenal wakibeba ubingwa wa EPL.
Bora iwe Three-peat kwa City tu.
Sasa sisi kupata easiest draw kwenye League Cup hiyo ni shida yetu? The so called "the best teams" zote zimetolewa mlitaka tucheze na nani kama wote mmetolewa!?
EtH & Anthony ndiyo wana msimu wa kwanza, kipindi mnaimba #ArtetaOut mmeshasahau?
There are informed people in the industry who are adamant Levy will not sell Harry Kane, no matter what offers arrive. #mufc are assessing various options - checks have been made on Victor Osimhen, Goncalo Ramos and Evan Ferguson.
Levy ni mjeuri kinoma. Wote tunataka Harry Kane ila tunajua sisi Gunners hata tuwape squad yetu nzima na 100m yeye atupe Kane hatokubali. Tunajipooza Kwa kuwakumbusha Spurs kuwa Kane ni boyhood Gunner
There are informed people in the industry who are adamant Levy will not sell Harry Kane, no matter what offers arrive. #mufc are assessing various options - checks have been made on Victor Osimhen, Goncalo Ramos and Evan Ferguson.
Levy ni mjeuri kinoma. Wote tunataka Harry Kane ila tunajua sisi Gunners hata tuwape squad yetu nzima na 100m yeye atupe Kane hatokubali. Tunajipooza Kwa kuwakumbusha Spurs kuwa Kane ni boyhood Gunner