Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fulham iliyokamilika hatuwezi kuifunga comfortable


Kwenye ligi

United 2 fulham 1

No redcard humo
Unakumbuka goli ulipata dk ya ngapi goli la 2?

Performance mbovu

Kama watu wanawonea aibu kuwaambia mm nitawaambia mna timu mbovu

Katika wale top 10 wewe una GD 6
 
Manchester United are prepared to sell Harry Maguire and Victor Lindelof this summer.

(Source: Football Insider)
#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Kocha akipewa wachezaji wake anaowata

Wachezaji wenyewe anaowataka kocha sasa
 
Mkuu hoja ilikuwa hatuwezi kuwafunga umeletewa ushahidi unaanza tena ilikuwa dakika ya ngapi.

Kwani matokeo yalikuwaje? Mpira ni dk 90.
huyo ndo hamis77 mkuu ukibishana nae utachoka bure tu yeye alishasema aipendi man u kwaiyo hata umuelekezeje unajisumbua tu.

Wao arteta msimu wa 4 huu wamemvumilia ila sisi ten hag hataki hata tumpe misimu miwili huyo mental health inamtesa.
 
Kocha akipewa wachezaji wake anaowata

Wachezaji wenyewe anaowataka kocha sasaView attachment 2559470
Game ya kwanza MWAMBA aliwatungua Arsenal..Akawatungua City akaenda likizo akarudi akamtungua Barca na kama haitoshi kama uliangalia game VS Fulham na ukawa na mashaka na kipaji cha huyu mwamba LETA TEAM YAKO
 
Unakumbuka goli ulipata dk ya ngapi goli la 2?

Performance mbovu

Kama watu wanawonea aibu kuwaambia mm nitawaambia mna timu mbovu

Katika wale top 10 wewe una GD 6
man u ndio timu iliyocheza michezo mingi mpaka sasa, fatigue na injuries ni nyingi.
huko april itakuwa ni balaa kama tukiprogress europa kila baada ya siku tatu GAME!!
 
Yaani we Shabiki wa Arsenal kukaa kileleni msimu mmoja.

Tayari Ushaanza kuizodoa Man U.

Tuliza mdomo kwanza uone timu yako itafika wapi.
Na habari za Glazer achana nazo hakuna unachojua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…