Kama Sancho anaanza halafu Facundo hana namba, inashangaza sana. Sancho anasikitisha sana, hadi sasa sitamani kusikia tunasajili mchezaji wa Kiingereza.
Dah sijui tu ila nadhani kuna wachezaji pia wanaonewa kuna watu wanapata namba kila siku lakini ukiwaangalia unaona kabisa nje kuna vijana wanaweza kuingia na kufanya vizuri.
Dah sijui tu ila nadhani kuna wachezaji pia wanaonewa kuna watu wanapata namba kila siku lakini ukiwaangalia unaona kabisa nje kuna vijana wanaweza kuingia na kufanya vizuri.