Manchester United (Red Devils) | Special Thread

 
Hapa sasa nakiri wazi mwarabu atanyimwa timu
 
The Qatari's are the biggest bidders for Manchester United.
Most market-watchers believe this will be the only factor the Glazers consider when they are happy their valuation has been reached.

ze-dudu

#lauriewhitwell
#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Daniel Siebert will be the on-field referee for the fixture at Old Trafford on Thursday evening.

#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Man city have allowed Manuel Pelegrini's Real Betis to train at the city's training ground ahead of their UEL clash against Manchester united.


Adui wa adui yako ni rafiki yako.
 
Manchester United wako tayari kutoa euro 130m (£115m) kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa Eduardo Camavinga, 20, kutoka Real Madrid. (Fichajes – in Spanish)
Mshambulizi wa Tottenham na England Harry Kane, 29, yuko kwenye orodha ya usajili ya meneja wa Manchester United Erik ten Hag, kama ilivyo kwa kiungo mshambuliaji wa Ghana Mohammed Kudus, 22 kutoka klabu ya zamani ya Mholanzi huyo Ajax. (TalkSport)
Lakini United watataka kuwauza wachezaji kadhaa wa kikosi cha kwanza, akiwemo beki wa Uingereza Harry Maguire, 30, ili kutoa nafasi kwa wachezaji wapya msimu huu wa joto. (ESPN)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…