Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukikojoa kitandani ukweni usiku huwa mfupi sana.
Janja janja yenu ya kushinda kwa mazingaombwe mwisho wenu ni leo

Liva 2 Man U 0

Nani sasa hayaogopi majogoo?
Leo tutawapiga kama Ngoma na mtueleze mnapambania top 6 au top 10?
 
Yani akili za arsenal fans bwana Yani mnakimbizana na city ila mnatuwaza United!
Si mmeingilia show isio yenu. Tukiwa nyuma kwa 2-0 nyie ndo mlikua mmejazana kwenye uzi wetu.

Yani kafungwa Bounermouth mnaumia nyie badala ya kuumia Man City.

Hapo ndo ufikirie vizuri kama nani anamuwaza mwenzie.😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…