Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunafanye na huu mjadala kuhusu rightback wetu. Ni dhahiri EtH atasajili beki wa pembeni kulia mwenye ubora zaidI ya waliopo kwa sasa yaan Dalot na AWB. Sote tunajua mapungufu ya Dalot ni ukabaji wakati AWB ni kupandisha timu na kumwaga krosi. Lazima mmoja wao abaki awe kama back up ya atakayesajiliwa.

Ingawa tetesi nyingi zinamhusu AWB kuondoka na Dalot kuboreshewa mkataba wake,mimi mawazo yangu yanaona vinginevqyo baada ya performance ya AWB baada ya WC. Kwamba aondoke Dalot halafu AWB abaki kuwa back up. Hii ni kutokana na ukweli kwamba wakati mwingi tunakutana na winga wasumbufu sana ambao bila ya uwepo wa AWB inakuwa ngumu kuwazuia bila msaada wa midfilder wa kulia,winger wa kulia au beki wa kati kulia kitu ambacho kinaathiri equilibrium ya timu kiumuundo wa ulinzi na ushambuliaji.

Wadau nini maoni yenu kwenye hili.
N.B. Hili jukwaa sasa limekuwa huru kwa ajili ya mashabiki wa man utd pekee baada ya ujio wa EtH na ubora wa timu ukijumlisha na ukweli kwamba man utd ndio timu pekee iko kwenye mashindano yote msimu huu.
 
WBS ndy mchezaji mwenye blocks na tackles nyingi Sana kwenye back line yetu.

Dalot anashambulia Zaidi lakini ni mchovu kwenye kuzuia.
Kwangu Mimi WBS ni bora kuliko Dalot sababu Kazi ya beck ni kuzuia na sio kushambulia.,,
Huyo ndy spider man Aron Bisaka

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Dalot hata krosi zake bado sijazielewa..ukiacha ile aliyompigia Rashford sikumbuki nyingine..huwa anapaisha afadhali hata AWB..
 
Yaani kifupi kwa timu yetu ilivyo na mawinga hatari kwa sasa ambao wote wanauwezo wa kufunga Weghorst ndio Striker sahihi kabisa sababu anaenda kufanya majukumu ya ziada uwanjani huku majukumu ya kufunga akiwaachia mawinga na midfieders yaani ETH ni genius.
 
Hii ya mwisho acha tushangilie tukiwa tuna subiri makombe mengine.
Your browser is not able to display this video.
 
Ndy jukumu alilonalo kwa sasa,,

Hata tukisajili striker lakini sio mtu wa kukaba kama weghorst,
Tutarudi kule kule kwenye maumivu ya kupoteza.

Man U vs Newcastle weghorst pia alifanya Kazi kubwa ya kublock na tackles nyingi uwanjani..

Tunaojuwa mpira tunasema weghorst apewe mkataba permanent na sio mkopo tena..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 

Probably hayo yalikuwa majukumu ya beki miaka hiyo but modern football ina demand beki ku assist build up au mashambulizi inapobidi.
 
Probably hayo yalikuwa majukumu ya beki miaka hiyo but modern football ina demand beki ku assist build up au mashambulizi inapobidi.
Sio timu zote zinategemea Beck za pembeni kupanda,

Hivi unacheza na wingers kama Mbape,saka Salah,Mahrez beki utapanda muda gani?

Si kujitafutia lawama na mashabiki?
Kazi ya Becki ni kukaba,,hayo mengine ni ziada tu.


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…