Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vyote viwili, hizo ni sifa mbili muhimu.
Lazima kipa awe nazo zote.

De gea anaweza kusainiwa ila mshahara wake ukapungua. Halafu tukanunua young GK, ambae atamreplace De Gea, in after one year au two years
 
Kuna Jamaa anaitwa Jose Maryoga, nafikiri ndio head wa recruitiment( Chief Scout) kwa sasa.
Huyu jama ameanza kazi baada ya Summer window.
Alikuwa head scout kwa upande wa South America region.
Ndiye alimrecommend Caicedo. Hata Enzo Fernandez Pia.
 
Ndio, Bruno ni no 10, creativity tunamtegemea yeye tu toka Eriksen aumie. Sasa hivi Fred/Sabitzer ndio wanacheza 8 ambao wote wapo limited suala zima la utengenezaji nafasi.
Mimi naona tunahitaji no 8, wakuanza( labda huyo ndio unaita kiungo mshambuliaji).
Mimi namuita Progressive CM.
Mfano wa Jude B, De Jong etc.

Yaani kiungo kina kuwa na Casemiro + Progressive CM + Bruno.

Kwa sasa hatuna mtu kama huyo, ndio maana tunamtumia Eriksen. Ila nae ana limitations zake.
 
Tutasajili wengi sana hapo golini lakini guts za kutaka De Gea awe benchi hatujawahi kuwa nazo.
Kipa anavyozeeka ndo anazidi kuwa mahiri.

Kubadili kipa iwe hatua ya mwisho kabisa kwamba namba zote zimesajiliwa na zinafanya inavyopaswa kufanya na kipa ndo anatuchelewesha.

De Gea ana misimu mingine kama 6 au 7 ya kutetea namba yake.
 
Kuna Jamaa anaitwa Jose Maryoga, nafikiri ndio head wa recruitiment( Chief Scout) kwa sasa.
Huyu jama ameanza kazi baada ya Summer window.
Alikuwa head scout kwa upande wa South America region.
Ndiye alimrecommend Caicedo. Hata Enzo Fernandez Pia.
Mayorga sio Chief Scout wetu mkuu, ni katika Scout wakubwa, wapo kama 30 hivi kwenye mamia ya Scout ambao wanafanya kazi chini ya Murtough na Fletcher huyo Mayorga ni mmoja wao.
 
Eneo lipi la kufanyia usajili mzuri ukiondoa striker ?
Nadhani tunahitaji beki wa kulia atakayetoa changamoto kwa Bisaka na Dolot coz hawa jamaa wamekuwa hawana consistence. Pia tunahitaji kiungo mkabaji mwingine mwenye karba ya Casemiro. Kuhusu beki wa kati hapo hamna shaka coz Shaw pia anaweza kutumikia eneo hilo endapo kutakuwa na mahitaji.
 
Carabao Cup, please add.
 
Kwawani RASHFORD na Mbappe wakifunga goli , dushe zao huwa zinadisa?

Madaktari wa michezo tusaidieni,
 
Casemiro: Bruno why didn't pass at the end?.

Bruno: But we win broo, dont take it personal next time i'll do.

Casemiro:
Your browser is not able to display this video.
 
Sancho: Next time you pass uuh.
Your browser is not able to display this video.
 
Kwahiyo tumekubaliana kua CF siku hizi kazi zao ni kukaba?
Kwakua tupo kwenye wimbi la ushindi, hata mchezaji mbovu tutamsifu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…