Hili jamaa nalo la wapi..unamjua Shaw wewe kweli?
Namba 10 kwenye makaratasi. Lakini physically uwanjani hahusiani kabisa na hiyo namba.Anacheza namba 10
Yupo sahihi msindikizaji sana. Utakuta wametoana katikati mpaka golini.Hili jamaa nalo la wapi..unamjua Shaw wewe kweli?
Nadhani hapo Madrid wanatakiwa wamtake Bruno..lile pasi si la dunia hiiMpira naweza sema ni sanaa mfano lile pasi la kiwango cha SGR la Maestro Bruno Fernandes,Huyu Rashfod sitoshangaa kusikia Madrid wanamtaka
GGMU
Ungekuwa hapa karibu ningekupiga bonge la mbata..ongea ujinga wako wote usimguse Shaw.Hawa watu Dalot Lindelof na Shaw hawapaswi kuanza pamoja.
Unakuta Shaw na Lindelof wasindikizaji sana.
Dalot akili ipo kushambulia tukipoteza mpira ndio hivyo mpira ni threat tena.
Wan Bissaka aiingie bana kupunguza makali ya kushambuliwa.
Naona mzee unaangalia Goli tu.Ungekuwa hapa karibu ningekupiga bonge la mbata..ongea ujinga wako wote usimguse Shaw.
Hayo ni maoni yako..mpira wa kisasa lazima uanzishie mashambulizi nyumba (jitahidi uwe unaangalia mechi nyingi nyingi za timu tofauti tofauti utaelewa). Mipira ya kupiga hovyo mbele ni hatari sana ukitua kwa adui na spidi ya wachezaji sekunde moja wamefika golini kwako. Lazima mipira ianze nyuma ili kuwavuta wapinzani ili rashford, whergost na garnacho na wengine waweze kufungua vyumba (yaani wapate nafasi) MIPIRA YA KUPIGA MBELE NI MIGUMU KWANI KILA MTU ANAKUWA AMEKABWA NA ADUI HUWEZI KUPATA MTU YUKO FREE UMPIGIE.Alafu wakuu hii kitu ya timu yetu kujaribu kuimplement kuanzisha mashambulizi kuanzia mabeki sio nzuri kwetu.
De Gea ni traditional wa kizamani hana pass nzuri za mipira mara awapasie wapinzani.
Kingine mabeki tulionao wengine ni migogoro ukitoa Martinez wengine ndio hivyo hawana confidence ya kuturn na mpira.
Inapelekea wenyewe ndio tunatengeneza hatari langoni.
Why isiwe hivi, piga pembeni piga kati rushia winga, piga through ball kwa washambuliaji.
Maoni yangu tu.
Yaani tunasababishaga hatari langoni kifala kisa kumuiga Pep.