Isayalussy11
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 695
- 1,058
Hongereni kwa ushindi jana nyie manure maan sishani kama kuna team kutoka EPL imeshawi kuondoka na ushindi pale camp nou .Kupata sare ni ushindi mkubwa sana kwenu.
Sasa mkuu, unaposema "ni utoto tu wa Barca.." si ndio madhaifu yenyewe hayo ambayo hufanya timu zifungwe na watu wabebe makombe? Mpira ni mchezo wa makosa.
Hata MUFC ya Ole ilikuwa timu nzuri ila "ni utoto tu wa akina Pogba na ubishoo ila tulikuwa tubebe makombe."
Hakuna muujiza kwenye mpira, unafanya makosa na unaadhibiwa watu wanabeba makombe. Acha tantalila nyingi, wewe kwa sasa hauna timu ya kutisha. Kunywa maji utulie.
Kumbuka umeitafuta sare kwenye uwanja wako wa nyumbani na hapo ulikuwa unacheza na MUFC ambayo haina Martinez wala Sabitzer.