Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Waarabu wanakuja kwa kasi. Kesho inasemekana ndiyo ilikuwa mwisho wa ku-bid kwenye deal la kuinunua United sasa huko Twitter naona tweets za kiarabu tu na picha za United zikitembea kutoka kwa watu/vyanzo vya karibu huko Qatar.

"Today I feel Qatari." 🇶🇦
 
Weghorst labda acheze nyuma ya Rashford..tofauti na hapo ni same story tu...Na hili naona litakuwa gumu coz sioni EtH akimpeleka Fernandes kulia.
Mkuu huyo jamaa uwepo wake hapo mbele unawatisha mabeki.

Akae tu hapo hapo.

Kuna siku akikosekana utatamani awepo.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…