Yeah..Anthony huwa anatusaidie sana huu upande wa kulia.Game Kama hii tunammiss Sana Anthony,,,,
Ule upande anafosi Sana hatushambuliwi kizembe ,,,,
Wacha tuone ETh atakuja na mpango mkakati wa Aina gani !
Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.Game Kama hii tunammiss Sana Anthony,,,,
Ule upande anafosi Sana hatushambuliwi kizembe ,,,,
Wacha tuone ETh atakuja na mpango mkakati wa Aina gani !
😂 Wataanza kuelewa sasa maana kuna mashabiki wao ni stats tu mpira hawaangalii.Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.
Uwepo wake hua unapunguza kwa kiwango kikubwa mashambulizi upande wetu. View attachment 2519238
Guesswork tu
Beki za barca zina matobo ?? Huifatilii barca ndugu yangu barca ndo team yenye most clean sheets la liga na msimu huu kafungwa goal 7 tu.#GGMU
Barca anafungika tukiingia na mkakati mzuri,,,,
Beki zake Sina matobo recently !!!
Labda Barca ya kijijini kwenu sitimbi.#GGMU
Barca anafungika tukiingia na mkakati mzuri,,,,
Beki zake Sina matobo recently !!!
Kwenye ligi tano bora Barcelona pekee ndiyo kafungwa goli chache.#GGMU
Barca anafungika tukiingia na mkakati mzuri,,,,
Beki zake Sina matobo recently !!!
Watu wanaongozwa na mihemko tu pamoja na maoni wa vichambuzi vya kubumba vya kizungu ulaya. Huyo dogo ana mapungufu yake kweli ila huwa anaweka balance ya timu sana tena sio kidogo hasa hasa tukiwa hatuna mpira.Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.
Uwepo wake hua unapunguza kwa kiwango kikubwa mashambulizi upande wetu. View attachment 2519238
Kabisa mkuu,Mungu awe upande wetu
EtH angemuacha Anthony uwanjani ile game ya Arsenal tungetoka na kitu.Watu wanaongozwa na mihemko tu pamoja na maoni wa vichambuzi vya kubumba vya kizungu ulaya. Huyo dogo ana mapungufu yake kweli ila huwa anaweka balance ya timu sana tena sio kidogo hasa hasa tukiwa hatuna mpira.
Watu wengi sana wanamhukumu kwa ile price tag tuliyolipa Ajax kwa uzembe wa watendaji wakuu wa timu pamoja na bodi walifanya timing mbovu sokoni. Muda mwingi wali-focus kwa De Jong muda tunaenda Ajax tayari walikuwa wameuza wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza na hawakuwa tayari kumuuza, we forced them to strike the deal.