Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Achaneni na mpira wa kujigongagonga njooni kule the blue side of manchester muone mpira wa kikubwa.
 
Hakua mchoyo sana.

Mnaombeza Weigehorst jua mawinga wenyewe hawampi mpira.

Yeye akipata mpira anatoa pasi.

Michezaji ya kuforce kufunga na uchoyo naichukia.

Gemu za ushindi ndio wanatuangusha
Mimi bado nakazia kocha inabidi anunue straika wake mwenyewe awa walipo watamuangusha maana wanataka wafunge wao tu siku wakiwa out of form tumeliwa. Tunahitaji timu icheze kwa ushirika kuanzia nyuma hadi mbele sasa leo dakika zote straika Weighorst hapewi mpira na hili ni tatizo mechi karibu zote.
 
Kuna game EtH ametunyima points kwa kutofanya Sub mapema au na kuanza na watu ambao hawana mchango wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…