Katika mechi mbili hv karibuni timu zote za juu na huyu Newcastle aliyeopo Chini yetu wame drop point ni sisi peke yetu tume gain Pont 4...
Hii inamaana league ni ngumu ila timu inajitahidi...
Hebu tuone msimamo utakavyokuwa baada ya mechi 5...
Namuona arsenal akishuka mpk nafasi ya 3